Kuanzia mwaka wa fedha 2012/2013 hadi kufikia Decemba 2017 Halmashauri imekamilisha ujenzi wa miradi mitano kupitia programu ya maendeleo ya sekta ya maji (WSDP) miradi hiyo ni Kanondo, Chelenganya, Mlanda, Malonje na Pito group unao hudumia vijiji vitatu mbavyo ni Pito, Malagano na Tamasenga, kwa ujumla miradi hii inahudumia vijiji saba vyenye jumla ya wakazi 28,657.
Jedwali linaonesha hatua iliyofikiwa katika utekelezaji
|
|
|
|
|||
Jina la Halmashauri
|
Jina la Mradi
|
Gharama za ujenzi wa mradi
|
Kazi zilizopangwa kufanyika
|
Kazi zilizofanyika
|
Malipo aliyolipwa Mkandarasi
|
Maelezo/Maoni
|
Sumbawanga MC |
Ujenzi wa mradi wa Maji ya mserereko kijiji cha Kanondo
|
332,588,524.80
|
-Kujenga tanki la Maji lenye ukubwa wa mita za ujazo 90,
-Kuchimba Mitaro na kulaza bomba kuu lenye urefu wa mita 4300 na mabomba ya kutawanya maji mita 4650 na -Ujenzi wa vituo 13 vya kuchotea maji |
- Tanki la Maji limejengwa,
-Bomba zimelazwa -Ujenzi wa vituo 13 vya kuchotea maji umekamilika |
315,496,138.88
|
Mradi umekamilika na unafanya kazi
|
Ujenzi wa mradi wa Maji ya mserereko kijiji cha Malonje
|
288,615,140.00
|
-Ujezi wa matanki mawili ya maji yenye ukubwa wa mita za ujazo 45 kila moja,
-Ujenzi wa banio la maji, -Kuchimba Mitaro na kulaza bomba kuu na mabomba ya kutawanya maji -Ujenzi wa vituo 14 vya Kuchotea Maji -Kununua na kufunga pampu ya umeme wa jua |
-Ujenzi wa matanki mawili umekamilika
-Banio la maji limejengwa -Mabomba yamelazwa -Ujenzi wa vituo umekamilika -Pampu ya umeme wa jua imefungwa |
288,615,140.00
|
Mradi umekamilika na unafanya kazi
|
|
Ujenzi wa mradi wa Maji ya mserereko kijiji cha Mlanda
|
394,997,000.00
|
-Ujezi wa tanki la Maji lenye ukubwa wa mita za Ujazo 90,
-Kukarabati tanki la maji lenye mita za ujazo 45, -Kuchimba Mitaro na kulaza Bomba kuu na mabomba ya kutawanya Maji na -Ujenzi wa vituo 19 vya Kuchotea Maji na ukarabati wa vituo 15 -Ukarabati wa banio moja na ujenzi wa banio la pili |
-Ujenzi wa tanki umekamilika,
-Tanki la maji lenye mita za ujazo 45 limekarabatiwa, -Bomba zimelazwa -Ukarabati na ujenzi wa mabanio umekamilika -Ujenzi wa vituo 19 vya Kuchotea Maji umekamilika na ukarabati wa vituo 15 umekamilika |
354,932,420.50
|
Mradi umekamilika na unafanya kazi.
|
|
Ujenzi wa mradi wa Maji ya mserereko kijiji cha Chelenganya
|
556,434,176.60
|
-Kukarabati banio la maji
-Ujezi wa tanki la maji lenye ujazo wa lita 45,000 -Kuchimba mitaro na kulaza bomba kuu lenye urefu wa mita 8603 na mabomba ya kutawanya maji mita 4060 (Chelenganya) -Ujenzi wa vituo 12 vya kuchotea maji -Kupeleka maji kwenye tanki la kijiji cha katuka. |
-Banio la maji limekarabatiwa
-Tanki limejengwa -Vituo 12 vimejengwa -Uchimbaji wa mitaro na ulazaji wa bomba umekamilika -Mabomba yamelazwa mpaka katuka na maji yanaingia kwenye tanki |
537,940,160.00
|
Mradi umekamilika na unafanya kazi isipokuwa tenki lilijengwa chini ya kiwango na mkandarasi wa awali hivyo mchakato wa ujenzi wa tenki jipya umefanyika.
|
|
Ujenzi wa tenki jipya katika Kijiji cha Chelenganya
|
46,088,499.00
|
-Kubomoa tenki la zamani
-Ujenzi wa tenki jipya |
Kazi zote zilizo pangwa zimefanyika na kukamilika
|
42,218,075.5
|
Mradi umekamilika na unafanya kazi upo kwenye muda wa matazamio
|
|
Ukarabati wa mradi wa Maji katika vijiji vya Pito, Malagano na Tamasenga
|
857,328,360
|
-Kukarabati banio la maji
-Ujezi wa tenki la Maji lenye ujazo wa lita 135,000 - Ujenzi wa tenki lenye ujazo wa lita 45,000 -Ukarabati matanki 2 yenye ujazo wa lita 45,000 kila moja -Kuchimba mitaro na kulaza bomba kuu mita 8800 na mabomba ya kutawanya maji mita 19,755 -Ujenzi na ukarabati wa vituo 56 vya kuchotea maji. |
-Ujenzi wa matenki umekamilika
-Ukarabati wa matanki umekamilika -Vituo vya Maji vimejengwa na kukarabatiwa, - Bomba zimelazwa |
516,712,200.00
|
-Mradi umekamilika na unafanya kazi
|
|
Ujenzi wa mradi wa Maji kijiji cha Kisumba & Matanga
|
335,971,460
|
-Ukarabati matanki 2 yenye ujazo wa lita 45,000 na 135000
-Kuchimba mitaro na kulaza bomba kuu mita 3150 na mabomba ya kutawanya maji mita 10755 -Ujenzi wa vituo 29 vya kuchotea maji |
-Ukarabati matanki 2 yenye ujazo wa lita 45,000 na 135000 unaendelea
- Bomba kuu mita 4200 unaendelea - mabomba ya kutawanya maji mita 11,658 -Ujenzi wa vituo 31 vya kuchotea maji |
Hakuna malipo yaliyofanyika
|
Ujenzi unaendelea
|
|
Ujenzi wa mradi wa Maji kijiji cha Kasense & Chipu
|
778,179,200
|
-Ukarabati tanki 1 lenye ujazo wa lita 45,000 na ujenzi wa tenki la maji raiser lita 45000
-Kuchimba mitaro na kulaza bomba kuu mita 8900 na mabomba ya kutawanya maji mita 6,650 -Ujenzi wa vituo 29 vya kuchotea maji |
-Ukarabati tanki 1 lenye ujazo wa lita 45,000 umekamilika.
-Ujenzi wa tenki la maji raiser lita 45,000 upo hatua ya mfuniko. -Kuchimba mitaro na kulaza bomba kuu mita 8900 kazi imekamilika - Mabomba ya kutawanya maji mita 6,650 umekamilika. -Ujenzi wa vituo 33 vya kuchotea maji |
278,929,521
|
Mradi upo katika hatua zamwisho za utekelezaji
|
|
Ujenzi wa banio la maji, bomba kuu Sambulwa hadi Mtipe tanki
|
834,837,274
|
Ujenzi wa tegamaji na bomba kuu toka chanzo cha Sambulwa hadi hadi tenki la Mtipe.
|
Ujenzi wa tegamaji upo hatua ya kumimina zege na bomba kuu toka chanzo cha Sambulwa hadi tenki la Mtipe mtaro umechimbwa.
|
Hakuna malipo yaliyofanyika
|
Kazi inaendelea
|
Sumbawanga Municipal Council
Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga
Simu ya Mezani: +255252802163
Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255
Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz
HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa