• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

Ilibandikwa: March 16th, 2025

Na Sammy Kisika.

Wakazi wa mkoa wa Rukwa wanaoishi ndani nje ya mkoa huo wametakiwa kuungana katika kuhakikisha mkoa huo unakuwa na umoja na unapata maendeleo kama lilivyokusudio la Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Akizungumza katika hafla ya kuliombea Taifa amani na Iftar maaalum iliyoandaliwa na mkoa kwa kushirikiana na Mdau wa maendeleo Jacquline Mzindakaya, Mgeni Rasmi katika shughuli hiyo Mkuu wa mkoa wa Rukwa Makongoro Nyerere amesema wakati mkoa ukitafakari mafanikio ya miaka minne ya serikali ya awamu ya Sita ya Rais Samia ipo haja pia ya kuona michango ya maendeleo ya Wanarukwa.

Makongoro alisema maendeleo yanahitaji ushirikiano wa pamoja kati ya wananchi na serikali na kuwataka Wanarukwa kuiga mfano wa Jacquline Mzindakaya ambaye amekuwa akitumia sehemu ya kipato chake na kusaidia jamii ya Wanarukwa kama alivyofanya kwa kuandaa futari hiyo kwa waumini wa Kiislamu na Kikristu ambao wako kwenye mfungo wa Ramadhan na Kwaresma.

Alisema katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Samia kuna mafanikio mengi yaliyopatikana kwenye sekta ya kielimu, afya, maji, miundombinu na mambo mengi ambayo yamelifanya Taifa kuwa na mabadiliko makubwa ya kimaendeleo.

Kwa upande wake Sheikh wa mkoa wa Rukwa Rashid Akilimali alisema ili maendeleo ya mkoa yaweze kupatikana ni lazima wakazi wa ndani na nchi ya nje ya mkoa wazungumze lugha moja na kuwataka baadhi ya viongozi wa Rukwa wakiwapo Wabunge kuacha kuwatenga viongozi wa dini katika mipango yao ya maendeleo.

Mdau huyo wa maendeleo Jacquline Mzindakaya alisema amekuwa na utaratibu wa kukutana na makundi mbalimbali ya jamii ya walemavu, wanawake na watu wengine kwa kula chakula pamoja lakini kutoa misaada katika sekta mbalimbali ikiwapo sekta ya afya.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa