• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

WAZIRI MKUU ATOA MSAADA KWA KITUO CHA KULELEA WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU

Ilibandikwa: July 11th, 2022

Watoto wanaolelewa kwenye kituo cha Watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu cha Berthania Future anda Hope Centre cha mjini Sumbawanga wameishukuru serikali kwa kuwajali katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Eid ambapo walishrerehekea vizuri kutokana na msaada wa vitu mbalimbali walivyopatiwa.

Furaha ya watoto na wafanyakazi wa kituo hicho inatokana na msaada wa vitu mbalimbali wakiwapo Mbuzi wawili, vyakula na vifaa vingine.

Akizungumzia msaada huo Mkuu wa kituo hicho Joseph Kasaila alisema kuwa kitendo cha kuolewa kwa msaada huo kinaonesha namna gani serikali inajali kundi hilo lakini pia kazi kubwa inayofanya na walezi hao kwa kulea watoto waoishi katika mazingira yao.

Alisema tangia kuanza kwa kituo hicho takribani miaka 20 sasa kimefanikiwa kuwalea watoto zaidi ya 2,500 ambao baadhi yao wamefanikiwa kubadilika tabia kiasi cha kupata ajira serikali na kampuni binafsi baada ya kusomeshwa kwenye vyuo mbalimbali.

Kasaila alisema kwa sasa wana watoto 68 ambao wanalelewa kituo hapo huku msaada mkubwa ukiwa ni kutoka kwa Wafadhili wao kutoka Ulaya ambao huchangia asilimia 70 ya bajeti yao ambayo ni Shilingi Milioni 200 kwa mwaka, huku asilimia 30 ikitakiwa kutolewa na jamii inayozunguka kituo hicho.

Akikabidhi msaada huo Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga, Sebastian Waryuba alisema kuwa serikali inajali watu wake na ndio maana Waziri Mkuu ametoa misaada hiyo ili kundi hilo la watoto lipate kujisikia kuwa inawajali na kuwathamini.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa