• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Waziri awataka Wakurugenzi kutoa mikopo kwa wanawake kabla ya Juni 30

Ilibandikwa: March 9th, 2018

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto imetoa miezi mitatu kwa Wakurugezni wa halmashauri zote nchini kuhakikikisha wanatoa mikoipo inayokidhi vigezo vya kibaiashara kwa makundi ya wanawake waliopo kwenye maeneo yao.

Wito huo umetolewa Waziri mwenye dhamana na wizara hiyo Mh.Ummy Mwalimu katika kilele cha maazimisho ya Siku ya wanawake Duniani kilichofanyika kwenye uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga mkoani Rukwa.

Waziri Mwalimu alisema wapo baadhi ya Wakurugenzi wanaopuuzia kutoa mikopo hiyo ihali wakifahamu kuwa serikali ilipita na kutoa ahadi kwa wanawake kuwa itawezesha kiuchumi kwa kuwapa mikopo hiyo ambayo inatokana na mapato ya ndani ya halmashauri.

"Mimi kama Waziri mwenye dhamana nasubiri hadi Juni 30, mwaka huu na iwapo kutakuwa na Mkurugenzi ambaye hatatoa mikopo kwa wanawake kwenye eneo lake basi ntachukua majina yao na kuyapeleka kwa Mheshimiwa Rais John Magufuli ili aweze kuwachukulia hatua za kupuuza agizo hilo".Alisema Waziri huyo

Aidha Waziri Mwalimu alikemea tabia ya baadhi ya Wakurugenzi ambao wamekuwa wakitoa mikopo kiduchu kwa wanawake, kiasi kwamba inawawia vigumu kufanya biashara walizokusudia.

Alisema..."Utakuta Mkurugenzi anatoa mkopo wa kiasi cha Shilingi Laki Tatu kwa kundi la wanawake sita , eti ili wagawane kila mtu shilingi Elfu hamsini, hivi Elfu hamsini unaweza kufanya biashara gani jamani? Na ndio maana hiyo mikopo wakitoa inashindwa kurejeshwa kwasababu hao wanawake wanaamua kuzitumia kwa matumizi mengineyo fedha hizo."

Alisema mikopo inayotolewa lazima ilenge kumwezesha mwanamke kujikwamua kiuchumi na kuendana na hali halisi ya uchumi wa viwanda ambapo mkakati uliopo unalenga sana katika kumwezesha mwanamke aliyepo vijijini.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa