• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

WATOTO WA MITAANI NI BOMU LINALOSUBIRI KULIPUKA SUMBAWANGA

Ilibandikwa: August 31st, 2021

Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Sebastian Waryuba ameiagiza Manispaa ya Sumbawanga kuhakikisha wanaandaa mkakati wa kushughulikia tatizo la ongezeko la watoto wa mitaani kwenye mji huo.

Agizo hilo la Mkuu wa wilaya amelitoa wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo ambapo amesema kuwa hali sio shwari kwasababu ya watoto hao kuzidi kuongezeka kwenye baadhi ya mitaa.

Waryuba amesema watoto hao wamekuwa wakionekana sehemu za migahawa na sehemu za vileo wakisubiria kuomba misaada ya fedha na chakula.

“Mimi binafsi huwa nakwenda maeneo ya chakula wakiwa hawajui kuwa ni Mkuu wa wilaya na huwa wananiomba fedha na hata chakula, nawapa lakini pia nawasahili maswali kutaka kufahamu walipo wazazi wao, utasikia baba yuko Ziwa Rukwa, au mama yuko kule, hii inasikitisha” alisema Mkuu huyo wa wilaya.

Hatahivyo Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga alitaka wadau wengine kushiriki kwenye mpango huo wa kuwaondoa watoto hao mitaani kwani alisema wakiendelea kuachwa ni sawa na bomu linalotengenezwa na likija kulipuka litaathiri watu wengi ndani nan je ya mkoa wa Rukwa.

“Hili Bomu, tukiendelea kulilea litalipuka na likilipuka hapatakalika hapa mjini, hawa watoto hawana malezi na wanaweza wakajiingiza kwenye vitendo vya ujambaza, ukabaji na hata mambo mengine yasiyofaa”alisema Waryuba.

Aidha aliomba Taasisi za Dini na hata watu binafsi kuwasaidia watoto hao waweze kusoma kwani wengi wao wameacha shule na kuanza kuzurura mitaani wakidai kuwa hawana huduma za msingi hivyo kuacha shule.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa