• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

WATAALAM WA AFYA WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA TAARIFA KATIKA ZOEZI LA CHANJO

Ilibandikwa: February 20th, 2023



“Bila taarifa hakuna kazi uliyoifanya hivyo wataalam wa Afya mnao kwenda kushiriki  zoezi hili la chanjo hakikisheni mnaweka taarifa sahihi ili tuweze kuwa na takwimu za walengwa waliopatiwa  chanjo.” Hayo yamesemwa leo tarehe 20 February 2023 na Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa Ndg. Ally Rubeba wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha kuweka mikakati ya kuhakikisha kila mlengwa anapata chanjo stahiki katika wiki ya chanjo  Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga.

Kuanzia tarehe 21 Februari hadi tarehe 28 Februari 2023 Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga inatarajia kutoa Chanjo  za aina zote kwa watoto walio na umri chini ya miaka mitano kwa watoto ambao hawakumaliza chanjo, Chanjo ya kukinga Saratani ya Mlango wa kizazi (HPV) kwa wasichana kuanzia umri miaka 14 walioko  shule za Msingi na Sekondari, pamoja na chanjo ya UVIKO 19  kwa wale ambao hawajachanja na ambao hawakumaliza  chanjo ya pili.

Katika kikao kazi hiki cha Idara ya Afya, Wataalam wa Afya wamekubaliana kwa pamoja kuwa kuanzia sasa kila Kituo kihakikishe kinatunza vizuri taarifa  na takwimu za walengwa kwa usahihi wakati wa zoezi hili la chanjo na taarifa zote zinaingizwa kwenye mfumo, kila Kituo kinatunza dozi za chanjo kulingana na Miongozo ya WHO ili chanjo hizi zisiharibike na  kila kituo kinatoa dozi za chanjo kikamilifu kulingana na  miongozo hasa kwa chanjo ambazo zina dozi zaidi ya moja kama vile chanjo ya Polio na HPV.

Mwakilishi wa WHO Ndg. Baraka Chaula amesema kuwa “tupende kuwapongeza  Sekta ya Afya kwa kazi nzuri mnazofanya hasa kwa upande huu wa chanjo kwani kazi zenu zimekuwa na mafanikio makubwa kwa taifa hili kwa kipindi cha Miaka 23  Tanzania haijapata kisa cha Mgonjwa wa Polio”. Isipokuwa hatuweki taarifa zetu katika mifumo inayotakiwa hali iliyopelekea Tanzania kukosa Cheti cha “ Tanzania Huru Bila  Polio”  cheti ambacho kiilitakiwa kutolewa miaka nane iliyopita kulingana na Miongozo ya WHO

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa