• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

WASINDIKAJI ZINGATIENI USHAURI WA WATAALAMU-MAKONGORO NYERERE

Ilibandikwa: November 28th, 2023

Wasindikaji wa mazao mkoani Rukwa wametakiwa kusindika bidhaa zao kwa kufuata ushauri wa Wataalamu wa TBS ili kuweza kukidhi vigezo vinavyokubalika katika soko la ndani na nje ya nchi.

Ushauri huo umetolewa na Mkuu wa mkoa wa Rukwa Makongoro Nyerere wakati akifungua  mafunzo ya siku mbili ya Wasindikaji na Wafanyabiahara wa mazao yaliyoandaliwa na Shirika la Viwango TBS Kanda ya Magharibi na kufanyika kwenye ukumbi wa halmashauri ya Manispaa Sumbawanga.

Mkuu huyo wa mkoa alisema ushirikiano wa Wasindikaji hao na Wakaguzi wa TBS utaongeza ubora wa bidhaa zinazozalishwa hivyo hakuna haja ya kundi hilo kuwakwepa au kuwachukia Wataalamu wa kada hiyo.

Alisema kundi hilo ni muhimu katika kuongeza pato la mkoa na Tfifa kwasababu wamekuwa wakilipa kodi hivyo liendelee kupewa mafunzo ya mara kwa mara ili kuweza kuzalisha kisasa kwa bidhaa zenye viwango.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Nyakia Chirukile alisema ipo haja ya mkoa kwa kushirikiana na Wawekezaji kuweza kuanzisha kiwanda kikubwa cha usagaji na ufungashaji bidhaa za vyakula vya Wanga na kuuza nchi za nje ambako bado kuna mahitaji  makubwa ya soko , lakini pia itachangia kuibua ajira kwa vijana.

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga Thadeo Maganga alishauri Wasindikaji hao kuhakikisha wanaweka viini lishe kwenye unga wanaosaga ili kuweza kuongeza virutubisho kwa walaji.

Naye Meneja wa Mafunzo wa TBS Kanda ya Magharibi Soud Mwansala alisema utoaji wa mafunzo kwa Wasindikikaji hao ni utaratibu endelevu kwao ili Taifa liweze kusindika  bidhaa bora zinazokidhi vigezo vya masoko.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa