• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

WAONDOENI WATOTO WA MITAANI MJINI SUMBAWANGA-DC NYAKIA

Ilibandikwa: August 27th, 2024

By Kisika S- Kitengo cha Mawasiliano SMC

Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imetakiwa kuendesha zoezi la kuwaondoa watoto wa miaani na kuwakabidhi kwa wazazi au walezi wao.

Agizo la Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Nyakia Ally Chirukile katika kikao cha Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo.

“Naamini mtaa hauwezi kuzaa mtoto na hawa waliopo wana wazazi kama sio walezi wao, hivyo tunapaswa kuhakikisha wanaondoka mitaani kwasababu kuendelea kuwalea tunajitafutia makubwa zaidi siku za usoni” alisema Nyakia

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa ya Sumbwanga Justine Malisawa alisema haingii akilini kuona mkoa wa Rukwa ambao ni mmoja ya mikoa Sita inayoongoza kwa uzalishaji wa chakula nchini unakuwa na watoto ombaomba.

Afisa Maendeleo ya jamii Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Frank Mateni alisema mji wa Sumbwanga unakadiriwa kuwa na watoto wa mitaani wapatao Miambili iatano hadi Miatano.

Mateni alisema wamekuwa wakiendesha zoezi la kuwakamata watoto hao na kuwapeleka kwenye ofisi za kata zinazowakutanisha na wazazi au walezi wao na wapo ambao wanasadhibiwa kwa kutozwa faini ya Sh.50,000/- lakini baada ya muda wanarejea tena mitaani.

“… Wengi wao wanafanya kazi ya kuombaomba, kufanya vibarua na kujipatia fedha ndogo, lakini kundi kubwa limeonekana kutumwa na wazazi wao kuomba mitaani.”alisema Mateni.

Alisema halmashauri hiyo iko kwenye mipango ya kuitisha mkutano na wadau wa mtoto ili kujadili namna ya kuliondoa kundi hilo mitaani.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • MKURUGENZI PENDO MANGALI AHIMIZA UADILIFU NA UWABIKAJI KWA WAHITIMU RIBM

    June 20, 2025
  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa