• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Wananchi Manispaa ya Sumbawanga waombwa kujitoa kuchangia masuala ya elimu

Ilibandikwa: March 15th, 2018

Wananchi wa Manispaa ya Sumbawanga wameshauri kujenga tabia ya kupenda kuchangia masuala ya kielimu badala ya kuendekeza kuchangia sherehe na mambo mengine ya kistarehe.

Wito huo umetolewa na Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Mh.Justine Malisawa wakati akifungua warsha ta wadau wa elimu katika halmashauri hiyo katika ukumbi wa Manispaa, kwaajili ya kutathimini maendeleo ya elimu katika shule za Msingi na sekondari katika Manispaa hiyo.

Mstahiki Meya huyo alisema ipo tabia ya wananchi wa Manispaa hiyo na mkoa wa Rukwa kwa ujumla kurudi nyuma pale inapotokea wanatakiwa kuchangia kutatua changamoto mbalimbali za kielimu katika shuke za Msingi na Sekondari zilizopo kwenye maeneo yao.

“Laiti kama ningelitangaza kuwa naomba michango yenu kwaajili ya sherehe ya Kipaimara kwa mwanangu nadhani huu ukumbi ungelijaa watu na michango ingelikuwa mingi sana, lakini kama nitatangaza kuomba michango ya ujenzi wa choo katika shule ya Msingi Kihwelu hapa utaona kila mtu anabidiika  na simu yake kama anazungumza na kutoka nje akikwepa kuchangia mchango huo wa kielimu”.alisema Mh. Mwanisawa

Hatahivyo Mstahiki Meya huyo aliwataka wananchi wa Manispaa hiyo kubadili mtazamo wao na kuongeza kuwa katika Ulimwengu wa sasa kila sehemu suala la elim u limepewa kipaumbele.

Aidha katika hatua nyingine Mestahiki Meya huyo wa Manispaa ya Sumbawanga amewataka viongozi na Watendaji mbalimbali wa Idara katika Manispaa hiyo kujenga utamaduni wa kutoa motisha kwa watumishi wake hususan wale wa Idara ya elimu kwa walimu wakuu au wakuu wa shule waliofanya vema katika ufaulu wa wanafunzi wao katika matokeo Darasa la Saba, Kidato cha pili na kidato cha Nne na Sita.

Katika matokeo ya Darasa la Saba mwaka 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Sum bawanga ilishiuka nafasi ya 33 katika halmashauri zote hapa nchini.

.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa