• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Wananchi 8000 kufaidika na Mradi wa maji Kasense-Chipu

Ilibandikwa: May 17th, 2018

Zaidi ya wananchi 8000 wa vijiji vya Kasense na Chipu katika Manispaa ya Sumbawanga wameondokana na kero ya muda ya mrefu ya ukosefu wa maji ya salama ya kunywa baada ya kujengewa mradi wa maji bomba la mserereko unaohudumia wa vijiji hivyo.

Mradi huo wa maji ambao tanki lake limejengwa kwenye kijiji cha Kasense umegharimu kiasi cha Shilingi Milioni 782.1 ikiwa ni fedha kutoka serikali kuu, huku halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga ikichangia Shilingi Milioni tatu na wananchi wa vijiji hivyo wakichangia nguvu zao kwa thamani ya Shilingi Laki Tisa na hamsini Elfu.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga Hamid Njovu alisema kukamilika kwa mradi huo kutawafanya wananchi hao kuepukana na magonjwa ya homa za matumbo, kuhara na kipindupindu, kutokana na kupata maji safi na salama, tofauti na awali walipokuwa wakitegemea kuteka maji kwenye visima vya kienyeji.

Njovu alisema mradi huo ulianza kutekelezwa kuanzia mwezi Mei mwaka uliopita na kukamilika mwezi Machi 2018.

Mhandisi wa maji wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Kazoya Mong’ateko alisema mradi huo wa maji unajumuisha vituo vya kuchotea maji (DPs) 33 katika umbali usiozidi mita 400 na hivyo kuokoa muda wa wananchi waliokuwa wakitumia muda mwingi kutafuta huduma ya maji safi na salama.

Mhandisi wa maji katika Manispaa ya Sumbawanga Mhandisi Kazoya Mong’ateko amesema ongezeko la wananchi wanaotumia maji limeongezeka kutoka asilimia 50 hadi 60.

Mhandishi Mong’ateko alisema kukamilika kwa mradi huo kunazidi idadi ya vituo vya vya kutekea maji vilivyo karibu na wananchi tofauti na vituo 64 vilivyokuwapo hapo awali hadi sasa ambapo kuna vituo 424, na kuongeza kuwa hiyo ni hatua kubwa ya mafanikio kwa halmashauri yake.

Alisema hivi karibuni Manispaa ya Sumbawanga imekamilisha na miradi ya maji ya mwaka 2017/18 katika mtandao wa bomba kwenye vijiji vya Kasense, Chipu, Matanga na Kisumba ambapo katika miradi hiyo jumla ya Lita 315,000 zinapatakana kila siku, huku ikifanikiwa kujenga tanki kubwa la maji katika eneo la Mtipe ambalo linakusanya maji kutoka chanzo cha Salumbwa- Chelenganya-Mtipe.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • MKURUGENZI PENDO MANGALI AHIMIZA UADILIFU NA UWABIKAJI KWA WAHITIMU RIBM

    June 20, 2025
  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa