• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

WAFANYABIASHARA RUKWA WATAKIWA KUFUATA SHERIA

Ilibandikwa: May 19th, 2022


Ameandika Kisika.

Wafanyabiashara na Wajasiriamali mkoani Rukwa wameaswa kuzingatia sheria za nchi na miiko ya biashara zao ili waweze kukabiliana na changamoto za mtikisiko wa kiuchumi unaoendelea kote Dunia hivi sasa.

Akizungumza wakati akiwasilisha mada ya elimu ya ujasiriamali Mwezeshaji kutoka Chuo cha Sayansi na Teknolojia MUST tawi la Mbeya Dk.Lulu Luflenge amesema Duniani inapitia kwenye mabadiliko makubwa ya kiuchumi katika kipindi hiki cha mlipuko wa ugionjo wa Uviko-19 na vita vya Ukraine na Urusi hivyo wanapaswa kuwa makini katika uendeshaji wa biashara zao.

Katika mkutano wa Wafanyabiashara wanaohudumiwa chini ya Benki ya NMB mkoani Rukwa, Dk.Lulu alisema pamoja na kuwapo kwa changamoto hizo za kiuchumi ni vizuri Wafanyabiashara wafuate maagizo yanayotolewa na halmashauri zao na Mamlaka ya Mapato (TRA) ili kuweza kuepuka ukiukaji wa sheria ambao unapelekea baadhi yao kujikuta wakipigwa faini.

“Tunasema uchumi umebana lakini unakiuka sheria, unapopigwa faini inaathiri biashara yako kwasababu hizo fedha unazotoa faini ungezitumia kwaajili ya kuongeza mtaji wa biashara hiyo”. Alisema Dk.Lulu

Hatahivyo aliwashauri wafanyabiashara hao kujenga utaratibu wa kutangaza biashara zao badala ya kukaa kimya ukijifaraji kuwa unafahamika, jambo ambalo halijengi uimara wa biashara zao.

Pia aliwataka kuzidi kujifunza elimu ya biashara ikiwa na pamoja kuwa na kauli nzuri zenye kuvutia wateja sanjari na kutumia sehemu ya faida kwaajili ya kuburudika katika maeneo mbalimbali hususan yale ya kitalii angalau mara moja kwa mwaka kuliko kujifungia eneo moja siku zote.

Kwa upande wake Meneja wa NMB Kanda za Nyanda za Juu Kusini Straton Chilongola alisema mkakati wa Benki hiyo ni kuhakikisha inatoa huduma bora za kifedha kwa wateja wake sanjari na kuwapa elimu ya biashara.

Baadhi ya Wafanyabiashara wameishukuru Benki hiyo kuendeleza utaratibu wa kuwakutanisha kupitia Klabu ya Wafanyabiashara ambapo wanapata fursa ya kujadili pamoja changamoto zao.

Klabu ya wafanyabiashara ya NMB mkoani Rukwa inajumuisha makundi yote ya wafanyabiashara mkoani humo ambao ambao wamekuwa wakifanya biashara ndogo na kubwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • MKURUGENZI PENDO MANGALI AHIMIZA UADILIFU NA UWABIKAJI KWA WAHITIMU RIBM

    June 20, 2025
  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa