• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi & Mipango Miji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mazingira na Taka Ngumu
      • Mipango na Uchumi
      • Utawala & Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Internal Audit Unit
      • Legal Service Unit
      • Info,Comm & Techno Unity
      • Procurement Management Unity
  • Fursa za uwekezaji
    • Natural Resource and Environmental Consarvertion
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

WAFANYABIASHARA RUKWA WATAKIWA KUFUATA SHERIA

Ilibandikwa: May 19th, 2022


Ameandika Kisika.

Wafanyabiashara na Wajasiriamali mkoani Rukwa wameaswa kuzingatia sheria za nchi na miiko ya biashara zao ili waweze kukabiliana na changamoto za mtikisiko wa kiuchumi unaoendelea kote Dunia hivi sasa.

Akizungumza wakati akiwasilisha mada ya elimu ya ujasiriamali Mwezeshaji kutoka Chuo cha Sayansi na Teknolojia MUST tawi la Mbeya Dk.Lulu Luflenge amesema Duniani inapitia kwenye mabadiliko makubwa ya kiuchumi katika kipindi hiki cha mlipuko wa ugionjo wa Uviko-19 na vita vya Ukraine na Urusi hivyo wanapaswa kuwa makini katika uendeshaji wa biashara zao.

Katika mkutano wa Wafanyabiashara wanaohudumiwa chini ya Benki ya NMB mkoani Rukwa, Dk.Lulu alisema pamoja na kuwapo kwa changamoto hizo za kiuchumi ni vizuri Wafanyabiashara wafuate maagizo yanayotolewa na halmashauri zao na Mamlaka ya Mapato (TRA) ili kuweza kuepuka ukiukaji wa sheria ambao unapelekea baadhi yao kujikuta wakipigwa faini.

“Tunasema uchumi umebana lakini unakiuka sheria, unapopigwa faini inaathiri biashara yako kwasababu hizo fedha unazotoa faini ungezitumia kwaajili ya kuongeza mtaji wa biashara hiyo”. Alisema Dk.Lulu

Hatahivyo aliwashauri wafanyabiashara hao kujenga utaratibu wa kutangaza biashara zao badala ya kukaa kimya ukijifaraji kuwa unafahamika, jambo ambalo halijengi uimara wa biashara zao.

Pia aliwataka kuzidi kujifunza elimu ya biashara ikiwa na pamoja kuwa na kauli nzuri zenye kuvutia wateja sanjari na kutumia sehemu ya faida kwaajili ya kuburudika katika maeneo mbalimbali hususan yale ya kitalii angalau mara moja kwa mwaka kuliko kujifungia eneo moja siku zote.

Kwa upande wake Meneja wa NMB Kanda za Nyanda za Juu Kusini Straton Chilongola alisema mkakati wa Benki hiyo ni kuhakikisha inatoa huduma bora za kifedha kwa wateja wake sanjari na kuwapa elimu ya biashara.

Baadhi ya Wafanyabiashara wameishukuru Benki hiyo kuendeleza utaratibu wa kuwakutanisha kupitia Klabu ya Wafanyabiashara ambapo wanapata fursa ya kujadili pamoja changamoto zao.

Klabu ya wafanyabiashara ya NMB mkoani Rukwa inajumuisha makundi yote ya wafanyabiashara mkoani humo ambao ambao wamekuwa wakifanya biashara ndogo na kubwa.

Matangazo

  • Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 December 18, 2020
  • Walichaguliwa Kidato cha Kwanza 2021 -PDF December 18, 2020
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU YA AWALI NA MSINGI TANZANIA BARA,JANUARY 2022. February 15, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA. December 07, 2019
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • UTARATIBU MPYA WA MAHAKAMA KUU KUAGA MAJAJI WASTAAFU WAWA KIVUTIO NCHINI

    June 02, 2022
  • MKURUGENZI MTALITINYA AZITAKA IDARA NA VITENGO VYATAKIWA KUFANYA MAFUNZO YA NDANI

    May 27, 2022
  • WAFANYABIASHARA RUKWA WATAKIWA KUFUATA SHERIA

    May 19, 2022
  • HOSPITALI YA WILAYA YA MANISPAA YA SUMBAWANGA YAANZA KUTOA HUDUMA

    May 05, 2022
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa