• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA MANISPAA YA SUMBAWANGA VYAPEWA ELIMU

Ilibandikwa: November 23rd, 2022

Imeelezwa kuwa vikundi vya Huduma ndogo za fedha katika Manispaa ya Sumbawanga vimekuwa vikikosa sifa ya kukopesheka kutokana na kutumia Wahamasishaji wasio na sifa katika shughuli zao za kila siku.

Akizungumza na vikundi hivyo Mratibu wa Huduma ndogo za Kifedha katika Manispaa ya Sumbawanga Mahamoud Mohamed amesema vikundi hivyo vimekuwa vikikosa mikopo hiyo licha ya kuwa ni haki yao kupewa mikopo hiyo kulingana na sheria, kanuni taratibu zilizowekwa na serikali na taasisi za kifedha.

Katika kuondoa dosari hiyo ofisi ya Mratibu huyo wa Huduma ndogo za kifedha kwa kushirikiana na Wataalamu wengine wametoa mafunzo ya kwa vikundi hivyo kwa lengo la kuwajengea uwezo kuhusu mfumo wa usajili wa Benki Kuu na watoa huduma ndogo za kifedha.

Mahamoud alisema kuwa Wahamasishaji wasiosajiliwa wamekuwa wakitumia vikundi vyao kama fursa ya kujinufaisha wao, huku baadhi ya vikundi vikidhulumiwa kutokana na kutozwa gharama mbalimbali za kuandaaji katiba, fomu za mikopo.

Katika kuepukana na kadhia hiyo vikundi hivyo vimeshauriwa kuwa na usajili wa Benki ili kuweza kufanya biashara zao kihalali na kupunguza migogoro kwenye vikundi hivyo.


Matangazo

  • Matokeo ya kidato cha NNE 2022 yatangazwa... January 29, 2023
  • Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 December 18, 2020
  • Walichaguliwa Kidato cha Kwanza 2021 -PDF December 18, 2020
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU YA AWALI NA MSINGI TANZANIA BARA,JANUARY 2022. February 15, 2022
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • ZAIDI YA WANAFUNZI ELFU 50 KUPATIWA DAWA ZA MINYOO SUMBAWANGA

    November 24, 2022
  • VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA MANISPAA YA SUMBAWANGA VYAPEWA ELIMU

    November 23, 2022
  • OFISI YA KAMISHNA WA ARDHI RUKWA YAWAFUATA WANANCHI MITAANI KUTATUA CHANGAMOTO ZAO

    October 27, 2022
  • MANISPAA YA SUMBAWANGA YAZINDUA MUUNGOZO WA ELIMU

    September 26, 2022
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa