• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

UTARATIBU MPYA WA MAHAKAMA KUU KUAGA MAJAJI WASTAAFU WAWA KIVUTIO NCHINI

Ilibandikwa: June 2nd, 2022

Anaandika Sammy Kisika.

Mahakama Kuu ya Tanzania imeshauriwa kuendeleza utaratibu mpya wa kuaga Majaji wastaafu wa Mahakama hiyo, ambao wamelitumikia Taifa kwa uadilifu huku wakiacha alama katika tasnia ya sheria ambazo zinaweza kutumika kama nyaraka kwaajili ya kufundishia kizazi kijacho katika vyuo vya sheria.

Ushauri huo umetolewa na Mwakilishi wa Mkuu wa mkoa wa Rukwa ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Sebastian Waryuba, mara baada ya kwisha kwa  Shauri dogo la Kitaaluma Namba 1 la mwaka 2022, shauri la kuenzi kazi za Kitaaluma na kumwaga Mh. Jaji David Mrango aliyekuwa Jaji wa Mahakamu Kuu Kanda ya Sumbawanga, lililosikilizwa na Jaji Kiongozi Mustapher Siyani.


Shauri  hilo la aina yake katika Mahakama hii lilisomwa mahakamani hapo na Msajili wa mahakama nchini Mh.Shamira Salawati ambaye alilitaja kuwa ni lakitaaluma kwa lengo la kuenzi utumishi wa Jaji Mrango aliyestaafu akiwa Jaji tangia mwaka 2014.


Unaweza fikiri kuwa ni kesi rasmi lakini kumbe ni shauri la kuigizwa ukiwa ni utaratibu wa Mahakamu Kuu kuwaaga Majaji waliotumikia kada hiyo na kustaafu kwa taratibu za kiserikali baada ya umri wao wa utumishi kukoma.

Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Sebastian Waryuba aliuopongeza utaratibu huo wa Mahalama Kuu wa kuwaaga Majaji wake wanaoustaafu kwasababu unaleta chachu kwa watumishi wengine wa kada hiyo ambao nao wanataraji kustaafu kwa heshima baada ya kuitumikia serikali kwa muda mrefu.



Mwanasheria Mwandamizi wa serikali Simon Pares yeye alisema Jaji Mstaafu Mrango atakumbukwa kwa tabia yake kupinga vitendo vya rushwa ambao alikuwa hajali uwezo wa mtu katika kutenda haki.

Naye Wakili Msomi Bartazary Chambi yeye alimsifu Jaji huyo mstaafu kwa kupenda kuzingatia muda katika utendaji wake wa kazi na alikuwa mnyenyekevu kwa kila mtu licha ya kuwa alikuwa na nafasi kubwa katika kada hiyo ya sheria.

Shauri hilo la aina yake ambalo linatoa funzo la uadili katika utumishi wa umma lilihitimishwa na Jaji Kiongozi Mh.Mustapher Siyani akiwa na Majaji wengine Sita ikiwa ni ishara ya kubariki kustaafu kwa Jaji Mrango


Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • MKURUGENZI PENDO MANGALI AHIMIZA UADILIFU NA UWABIKAJI KWA WAHITIMU RIBM

    June 20, 2025
  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa