• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Ujenzi wa chuo cha VETA Rukwa

Ilibandikwa: September 2nd, 2018

Serikali imetenga zaidi ya Shilingi Bilioni 10.7 kwaajili ya ujenzi wa chuo cha Ufundi Stadi VETA ambacho kinatarajiwa kujengwa katika eneo la Muva kata ya Sumbawanga katika Halmashauri Manispaa ya Sumbawanga.

Akizungumza katika hafla fupi ya makabidhiano ya kati ya serikali na mkandarasi atakayejenga chuo hicho Kaimu Mkuu wa mkoa wa Rukwa ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dkt.Halfan Haule alisema ujenzi wa chuo hicho unaondoa kiu ya muda mrefu ya wananchi wa mkoa wa Rukwa ambao walikuwa wakihitaji kupata chuo cha aina hiyo.

Dkt.Haule alisema kuwa kupatikana chuo hicho ni ukombozi kwa wakazi wa mkoa wa Rukwa hususan vijana ambao watajifunza mambo mengi ikiwa ni pamoja na ujasiriamali na usindikaji wa mazao yao.

Aidha alisema jumla ya majengo tisa likiwapo jengo la utawala yatajengwa huku akitoa wito kwa wakazi wa eneo hilo kuchangamkia fursa hiyo kupata ajira za muda mfupi kwa kufanya kazi za vibarua wakati wa ujenzi huo.

Hatahivyo aliwataka wazazi mkoani Rukwa  kutumia fursa hiyo kwa kuwahimiza vijana wao kusoma  kwa bidii ili wapate nafasi ya kujiunga na chuo hicho, huku wakitumia mwanya huo kama njia mbadala ya kuendelea na masomo ya elimu ya juu katika masuala ya teknolojia.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa VETA Hildegareis Bitegera alisema chuo hicho kitajengwa na kampuni ya Tendar International Co.Ltd na unataraji kuchukua muda wa muda wa miezi 12 hadi kukamilika kwake.

Alisema jumla ya wanachuo 1500 wanatarajiwa kudahiriwa katika kipindi cha mwaka mmoja, wakiwapo wanachuo wa 600 watakaokuwa wakisoma kozi za muda mrefu na wengine watasoma kozi za muda mfupi.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa