• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi & Mipango Miji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mazingira na Taka Ngumu
      • Mipango na Uchumi
      • Utawala & Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Internal Audit Unit
      • Legal Service Unit
      • Info,Comm & Techno Unity
      • Procurement Management Unity
  • Fursa za uwekezaji
    • Natural Resource and Environmental Consarvertion
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

TUTAKABIDHI MADARASA KWA MKUU WILAYA DESEMBA 20

Ilibandikwa: December 17th, 2021

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Jacob Mtalitinya amesema wanatarajia kukakamilisha kazi zote za madarasa ifikapo Desemba 20, kisha kuyakabidhi kwa Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Sebastian Waryuba.

Akizungumza na Timu ya Wataalamu wa Manispaa hiyo mara baada ya kukagua maendeleo ya miradi ya ujezni wa madarasa hayo ya Uviko-19, Mtalitinya alisema kuwa sehemu nyingi walizotembelea ujenzi umefika zaidi ya asilimia 90 huku mengine yakiwa yamekamilika kabisa.

Mkurugenzi huyo alisema kuwa tayari wameytoa maelekezo kwa shule ambazo hazikamilisha, kufanya kazi usiku na mchana na kukamilisha kabla ya Desemaba 19, ili waweze ,kukabidhi ifika Desemba 20.

"Mikakati yetu ya kusimamia ujenzi wa madarasa imekwenda vizuri na tunaamini kuwa itakuwa ni miradi bora kuliko yote katika mkoa wetu, kwasababu tumezingatia vigezo vyote vya muhimu na usimamizi ulikuwa wa karibu zaidi.

"Tunaishukuru serikali kwa kutupatia fedha hizo ambazo zimepunguza upunghufu wa madarasa ambayo yalikuwa yakihitajika kujengwa kwaajili ya kupokea wanafunzi wa Kidato cha Kwanza 2022".alisema Mtalitinya.

Matangazo

  • Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 December 18, 2020
  • Walichaguliwa Kidato cha Kwanza 2021 -PDF December 18, 2020
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU YA AWALI NA MSINGI TANZANIA BARA,JANUARY 2022. February 15, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA. December 07, 2019
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • RC QUEEN SENDIGA AANZA NA KUPAMBANA NA SUALA LA UDUMAVU RUKWA

    August 07, 2022
  • IDARA YA KILIMO MANISPAA YA SUMBAWANGA YASHAURIWA KULIMA KWA WINGI BROKOLI

    August 05, 2022
  • MAZIWA YA SUMBAWANGA MILK YANAPENDWA NA WATU WENGI NANENANE

    August 03, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWENYE SENSA H/MANISPAA YA SUMBAWANGA

    July 27, 2022
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa