• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Tahadhari ya ugonjwa wa Ebola -Rukwa

Ilibandikwa: May 18th, 2017

Wananchi mkoani Rukwa wametahadharishwa kuwa makini dhidi ya Ugonjwa wa Ebola ulioripotiwa kuibuka kwenye nchi jirani ya Congo DRC.

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Zelote Steven Zelote ametoa tahadhari hiyo wakati akizungumza na Madiwani wa halmashauri zote nne za mkoa wa Rukwa kwenye ukumbi wa RDC siku chache baada ya nchi ya Congo DRC kukumbwa na ugonjwa huo huku mkoa wa Rukwa ukiwa ni mmoja ya mikoa inayopakana nan chi hiyo ihali kukiwa na mwaingiliano mkubwa wa raia wanchi hiyo na Tanzania, hususa katika maeneo ya mwambao mwa Ziwa Tanganyika.

Kwa upande wake Kaimu Mganga Mkuu wa mkoa wa Rukwa Dkt. Emmanuel Mtika amesema licha kuwa hadi hivi sasa hakuna tukio lililoripotiwa kuwepo kwa ugonjwa huo hapa nchini lakini tahadhari inatakiwa kuchuliwa ili Taifa lisiweze kukubwa na madhara ya ugonjwa huo ambao matibabu yake yanagharama kubwa mno.

“Kwanza tukumbuke bado ugonjwa wenyewe hauna kinga wala tiba na kinachofanyika ni kutiba zile homa zinazoonekana kwa mgonjwa huyo na gharama ya kumtibu mgonjwa mmoja ni sawa na bajeti ya mwaka mzima kwa halmsahauri moja hapa nchini.” Alisema Dkt. Mtika.

Alizitaja baadhi ya dalili za ugonjwa huo kuwa ni pamoja namgonjwa kupata, homa kali, kutapika mfululizo, maumivu ya kichwa, kutokwa damu katika kila sehemu ya tundu la mwili wa binadamu nk.

NJIA ZA KUEPUKA UGONJWA HUO. 

  • Kuepuka kugusa au kuingiliwa na mate damu, machozi,mkojo, jasho, kinyesi na majimaji mengineyo yatokayo mwilini mwa mgonjwa wa Ebola
  • Kuepuka kushughulikia maiti ya mtu aliyekufa kwa ugonjwa wa Ebola, kutoa taarifa kwa uongozi wa kituo cha Afya au hospitali ya karibu
  • Kuepuka mila na desturi zinazoweza kuchelewesha kupata huduma muhimu zinazoweza kusababishwa kuenea kwa ugonjwa na kuacha tabia yakuficha wagonjwa majumbani
  • Kuzingatia usafi wa mwili kwa kila mtu na kila siku
  • Kutoa taarifa kwa viongozi wa serikali iwapo ikitokea kuna mtu anadalili za ugonjwa huo
  • Kuwahi tiba katika vituo vya Afya mara unapoona dalili za kupata ugonjwa huo.

MIKAKATI YA MKOA KUKABILIANA NA UGONJWA USIWEZE KUINGIA NCHINI

  • Timu za halmashauri zimepangwa kujianda na kuongeza kasi ya ufuatilia wa magonjwa yanayojitokeza
  • Kila halmashauri itenge maeneo maalumu kwa wagonjwa iwapo ikijitokeza dalili za ugonjwa huo
  • Ukaguzi ufanyike kwa kwa abiria wote wanaoingia kwa njia ya maji na magari Ziwa na nchi kavu
  • Jamii iendele kuelemishwa
  • Idara ya uhamiaji ishirikiane na Halmsahauri kwa kufuatilia wagonjwa wote wanaoingia mkoani humo mhususan kutoka nchi jirani ya Congo DRC
  • Halmashauri itenge vifaa japokuwa vilivyopo havitoshi
  • Halmashauri Vijarida visambazwe na kutoa elimu kwa wananchi

NB. Wananchi wanashauri kutokuwa na hofu kwani hadi hivi sasa hakuna mtu yeyote aliyebainika kuwa na ugonjwa huo japokuwa tahadhali zinahitajika kuchukuliwa kwa kiasi kikubwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa