• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

RUKWA WAKUSUDIA KUANZISHA HUDUMA MKOBA YA CHANJO YA UVIKO-19

Ilibandikwa: August 7th, 2021

Idara ya Afya mkoani Rukwa inakusudia kupanua wigo wa  utoaji chanjo ya ugonjwa Uviko-19 kwa kuanza kutoa huduma mkoba ili kuwafikia wananchi wengi zaidi waishio vijijini ambao wanakabiliwa na ugumu wa kuvifikia vituo 11 vilivyoainishwa awali kutoa huduma  hiyo.

Mganga Mkuu wa mkoa wa Rukwa Dkt.Boniface Kasululu amesema kuwa hatua hiyo imechukuliwa baada ya kubaini kuwa wananchi wengi wanaonesha mwitikio wa kutaka kupata chanjo hiyo inawalazimu kusogeza huduma hiyo maeneo ya  karibu na wananchi kutokana Jiografia ya mkoa wa Rukwa ambapo hadi sasa zaidi ya wananchi Elfu Moja wamejitokeza kuchanjwa ndani ya siku tatu tangia kuzinduliwa kwa zoezi hilo.

"Mazingira ya mkoa wa Rukwa ni tofauti na mikoa mingine ambayo baadhi ya wananchi inagua vigumu kufika kwenye vituo ambavyo vimeainisha kutoa chanjo, hivyo lazima tuwasogezee huduma kwenye maeneo yao ya karibu". Alisema Dkt.Kasululu.

Dkt. Kasululu amesema jumla ya wananchi 1,081 tayari wamejitokeza kuchanjwa katika siku tatu tu tangia kuanzishwa kwa zoezi hilo, hali inayoonesha kuwa kuna mwitikio mzuri ambapo takwimu hizo ni wastani watu 300 hadi 350 kwa siku wanaojitokeza kuchanjwa.

Mganga huyo wa mkoa wa Rukwa amesema baada ya huduma kupelekwa karibu vituo vya Afya na Zahanati za karibu wananchi wanatakiwa kwenda kujiorodhesha kwenye vituo hivyo na taarifa itatolewa kwenye timu za chanjo cha wilaya ambapo Wataalamu hao wa afya watapanga siku ya kwenda kutoa huduma kwa makundi ya watu waliojiandikisha kwenye eneo lao.

Mkoa wa Rukwa umepatiwa jumla ya dozi Elfu Ishirini za chanjo hiyo na kwa mujibu wa Dkt.Kasululu iwapo mkakati huo wa huduma mkoba utafanikiwa basi wanatarajia kukamilisha zoezi hilo ndani ya mwezi mmoja.


Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa