• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

RC Wangabo atoa pongezi kwa walimu wakuu Manispaa ya Sumbawanga

Ilibandikwa: February 24th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewapongeza walimu wakuu wa shule za msingi zilizopo manispaa ya Sumbawanga kwa kufaulisha kwa asilimia 84 katika matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2017.

Amesema kuwa kwa kufanya hivyo wameteeleza Ilani ya Chama cha CCM ambayo ndio inayoongoza serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Uongozi wa Rais Dk. John Pombe Magufuli, ilani hiyo inaeleza ufaulu wa zaidi ya asilimia 80 kwa shule za msingi ili kuweza uwakomboa wananchi.

Mbali na hayo Mh. Wangabo aliwasisitiza walimu kuwa wanamchango mkubwa katika ufaulu wa mwananfunzi huku wao wakiwa kama “software” na miundombinu kama madawati, majengo na vitabu ikuchukua nafasi katika kukamilisha asilimia 100 za ufaulu wa mwanafunzi.

“Mchango wa walimu katika kumfanya mtoto afaulu ni asilimia 55 na asilimia 45 ni miundombinu kama vitabu, majengo na madawati, walimu mkifanya kazi vizuri na wathibiti ubora wa elimu ambao kwa pamoja ni kama “software” basi elimu itakuwa bora sana,”

Amesema hayo alipokuwa akiongea na walimu wakuu kutoka katika shule za msingi 67 za serikali na binafsi waliokutana kwaajili ya kujadili namna ya kuboresha ufaulu katika Manispaa ya Sumbawanga, Halmashauri ambayo inabeba sura ya Mkoa.

Katika kusisitiza uwajibikaji kwa walimu hao wakuu Mh. Wangabo amewataka kutojihusisha na michango ya aina yoyote na kuwa mwenye dhamana ya kuchangisha ni Mkurugenzi wa Halmashauri kwa mujibu wa miongozo iliyopo.

Jumbe Is haq ni Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Istiqaama amepongeza juhudi za serikali katika kuhakikisha wananfunzi wanakuwa na mazingira mazuri ya kujifunzia na kumuomba Mh. Wanagabo kufanya kikao rasmi na walimu wote ili kujua changamoto za walimu hao na kuona namna ya kuzitatua.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa