• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

RC Wangabo ataka maandalizi ya Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Sumbawanga kuanza haraka.

Ilibandikwa: December 15th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameiagiza mamlakaya viwanja vya ndege (TAA) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga kuanza hatua za wali za maandalizi ya uwanja wa ndege wa kimataifa unaotarajiwa kujengwa katika Kijiji cha Kisumba kata ya Matanga, Wilaya ya Sumbawanga.

Amesema kuwa kutokana na ufinyu wa eneo la Kiwanja cha Sumbawanga mjini kinachoendelea na taratibu za kuukamilisha ni vyema mamlaka hiyo ikaanza kutafuta hatimiliki ya uwanja wa Kisumba pamoja na kuweka mipaka inayoonekana katika uwanja huo pamoja na kuendelea kuwazuia wananchi kuvamia na kuendelea na ujenzi.

“Hatua za mwanzo za kupata hati ya hicho kiwanja ziendelee ili eneo hilo limilikiwe kisheria japokuwa lilitengwa tangu miaka hiyo kwaajili ya dhumuni hilo, ili muwazuie wananchi kuvamia maana mji unakua, watu wanongezeka na aerdhi haiongezeki, ili kuwazuia watu hilo lianze haraka,” Alisisitiza.

Eneo la Uwanja wa ndege wa Kisumba lenye ukubwa wa ekari 3411 na umbali wa kilomita 19 toka Sumbawanga mjini, lilitengwa tangu kuanzishwa kwa Mkoa wa Rukwa mwaka 1974 ambalo mpaka sasa hakuna mwananchi aliyevamia na kujenga.

Nae Kaimu Meneja wa uwanja wa ndege wa Sumbawanga Musa Mchola ameeleza kuwa Eneo hilo liliwekewa mipaka kwa alama ya bikon baada ya kutengwa kwa madhumuni ya kuanzishwa kwa uwanja wa ndege ambapo hivi alama hizo zimepotea na baadhi ya watu kuingia na kuanza kulima.

“Eneo hilo lilitengwa mwaka 1974 ila sasa hivi kuna baadhi ya wananchi wa vijiji vya jirani wameingia na kuanza kulima ila baada ya kuongea nao wakafanya Mkutano wa vijiji na kuniandikia barua ya kukiri kuwa wamevamia na kuahidi kuwa hadi mwezi June, 2018 watakuwa wamehama,” alibainisha.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa manispaa ya Sumbawanga Hamid Njovu amesema kuwa eneo la uwanja wa ndege uliopo katikati yam ji wa Sumbawanga ni dogo la Ekari 74 ukilinganisha na eneo lililopo Kijiji cha kisumba 3411, jambo lililomsukuma Meneja wa Wakala wa Barabara Mkoa wa Rukwa Mhandisi Msuka Mkina kuongeza kuwa mwaka wa Fedha 2018/2019 kutakuwa na upembuzi yakinifu kwaajili ya kujenga uwanja wa kimataifa wa Kisumba na uliopo wa Sumbawanga utatumika kwa matumizi ya “Domestic”.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa