• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

RC Wangabo asisitiza wajawazito kujitokeza vituo vya afya kupata huduma bure.

Ilibandikwa: January 29th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewasisitiza wakinamama wajawazito kujitokeza kupata huduma za kiafya katika vituo mbalimbali vya afya Mkoani humo ili kujiepusha na madhara yanayojitokeza wakati wa kujifungua na kuwaasa kuachana na tamaduni za kujifungulia nyumbani kwani huduma zao ni bure.

Amesema kuwa sera ya afya ya mwaka 2007 inaelekeza kuwa makundi maalum wakiwemo wazee, walemavu, wajawazito na watoto wenye umri chini ya miaka mitano wanapata huduma za kiafya bila ya malipo hivyo kuwataka watumishi katika vituo vya afya kuhakikisha huduma hizo zinaendelea kutolewa bure.

Ameyasema hayo alipokuwa akikabidhi vitanda 55 ambavyo kati ya hivyo vitanda 20 ni vya kujifungulia na vitanda 35 vya kulalia wagonjwa vikiwa na thamani ya Shilingi Milioni 47, vilivyotolewa na Shirka lisilo la kiserikali Association of Rear Blood Donors (ARDB), na vimetawanywa katika vituo vya afya 9, Zahanati moja na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Rukwa.

“Nitoe wito kwa kina mama wote mnaotoka maeneo jirani na vituo vilivyotajwa, wanaofikia muda wa kuanza Kliniki au wanaofikia muda wa kuanza kujifungua wajitokeze na kufika katika vituo hivyo na kuachana na utamaduni wa kujifungulia majumbani,” Alisisitiza.

Awali kabla ya Kumkaribisha Mkuu wa Mkoa, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Dk. Boniface Kasululu alibainisha kuwa mahitaji ya chini vitanda katika vituo vya serikali kwa Mkoa ni 1008 na vilivyopo ni vitanda 564 ambavyo ni sawa na asilimia 56 na kisha kueleza sababu za upungufu huo.

“Upungufu huu unachangiwa na ufinyu wa majengo ya kutolea huduma, kwamba eneo ni dogo kiasi kwamba unakosa nafasi ya kuweka vitanda hivyo, lakini kwa msaada wa serikali kuvipa fedha vituo vitano vya afya mkoani kwetu kwaajili ya upanuzi na kuwezesha kupanua huduma hizi tunawaomba wadau wengine waweze kujitokeza kutupa ushirikiano na kuweza kuweka vuitanda vya kutosha katika vituo hivyo,” Alieleza.

Wakati akisoma risala mbele ya mgeni rasmi, mratibu wa mradi wa ARBD Samwel Mwangi amesema kuwa shirikia hilo linawakilisha makundi ya damu ambayo ni A Negative, B Negative, AB Negative na O Negative leney wanachama 93 ndani ya Mkoa wa Rukwa wenye makundi ya damu mabyo hayapatikani kwa urahisi.

“ili kusaidiana na kutoa huduma kwa wananchi wake ARBD pamoja na shughuli nyinen ni kuhamasisha jamii kujitolea damu na kuhamasisha kinamama wajawazito kuhudhuria Kliniki kwa muda muafaka na kuwahamasisha kinamama hawa kuwapeleka watoto wao kuanza chanjo mpaka wanapomaliza chanjo” Alimalizia.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa