• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

RC Wangabo aahidi kuchangia mifuko 10 ya Saruji ujenzi wa Choo Kaswepepe.

Ilibandikwa: October 20th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amechangia mifuko 10 ya saruji kwaajili ya ujenzi wa choo kilichopo katika soko la mtaa wa Kaswepepe, kata ya Sumbawanga asilia, Mjini Sumbawanga ili wafanyabiashara wasipate shida ya huduma hiyo.

Mh. Wangabo amesema kuwa ameamua kuwekeza kwa wananchi na kuweza kumfuatilia Mkurugenzi ili kuona kama anatoa huduma stahiki kwa wananchi.

Ametoa ahadi hiyo baada ya kusimamisha msafara uliokuwa ukipita katika mtaa huo na kuona soko likiwa limeanzishwa kwenye barabara na kutaka kujua changamoto wanazokutana nazo katika shughuli zao za kila siku, ndipo mmoja wa wananchi hao alipotaja changamoto ya choo.

“Kama alivyosema Mkurugenzi, najua manispaa imeshajiandaa, na mimi nitatoa mifuko 10 ya “Cement” kuwaunga mkono na ninatoa hiyo mifuko 10 ili huyu mkurugenzi asinichenge kwasababu na mimi ni mdau nimekwisha wekeza hapo kwenye soko ili hawa kinamama wapate amahali pazuri pa kufanya biashara zao kwenye kivuli, wasinyanyaswe kwasababu wako kwenye maeneo kama haya,” Alisema.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga Jacob Mtalitinya alikiri kuwa uongozi wa soko hilo ulifika ofisini kwake ili kutatuliwa shida hiyo ya choo na kuelekeza kuwa ipo kwenye mpango wa kuboresha masoko katika kata 19 za Manispaa ya Sumbawanga.

“Kwasababu wao tayari wana eneo, tulisema suala la choo tutalishughulikia, tufanye ukamilishaji wa hicho choo, ili wananchi sasa kwa hiyari yao bila ya kuwalazimisha wala kuleta vurugu, tuwaombe waende eneo ambalo ni la soko kwaajili ya kupunguza hatari inayoweza kujitokeza,” Alibainisha.

Suala hilo la choo liliibuliwa na mmoja wa wananchi wa mtaa huo Ditmali Mwageni ambae alimueleza Mkuu wa Mkoa juu ya sababu ya wao kufanya kazi pembeni ya barabara hadi kukutwa na msafara wake ni kutokuwa na choo katika eneo la soko jambo ambalo tayari wameshalifika katika Ofisi ya mkurugenzi wa Manispaa.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa