• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

RC QUEEN SENDIGA AANZA NA KUPAMBANA NA SUALA LA UDUMAVU RUKWA

Ilibandikwa: August 7th, 2022

Anaandika Sammy Kisika, Nanenane 2022

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Queen Sendiga ameanza na suala la kutaka kutokomeza Udumavu mkoani Rukwa mara tu baada ya kuonana na Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga na Wakurugenzi wa halmashauri za mkoa huo.

Akiwa anawaonana uso kwa uso na Watendaji wa halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga alipotembelea kwenye Banda la Maonesho ya Nanenane kwenye viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya, Mkuu huyo wa mkoa alisema ni aibu kuona mkoa kama Rukwa unaripotiwa kuwa na udumavu kwa watoto.

Alisema”Hii mikoa inasifika kwa uzalishaji wa vyakula vingi, lakini unaambiwa kuwa udumavu umezidi, hii inanishangaza sana, ebu tufanye jambo kuondokana na hali hiyo”.



Mkuu huyo wa mkoa ambaye yuko njiani kuelekea kwenye kituo chake kipya cha kazi mkoani Rukwa akitokea mkoani Iringa alisema tatizo linazilozikumba halmashauri nyingi ni kutotekelezwa kwa afua za lishe kulingana na kalenda za Wataalamu wa Idara ya Afya katika halmashauri hizo.

“Ninyi wakubwa mnadhani hizi kazi za masuala ya lishe ni kwaajili ya Manesi pekee yao na watu wao kwenye idara ya Afya, nyie mko bize na mambo mengine, hii sio kweli kwasababu hawa wanaweza kupanga lakini wasipowezeshwa kibajeti haina maana”,alisema

Aidha alishauri kuwa kila halmashauri iandae mpango kazi ili upitishwe na vikao husika na mwisho wa Robo ya bajeti Kamati husika zikae na kufanya tathimini iwapo malengo yaliyopangwa yamefikiwa kwa idadi ya kaya.



Alisema Kamati hizo ziwe na uwezo w kubadili bajeti kulingana na kipaumbele kwa muda huo, kama ni ununuzi wa dawa au kwaajili kuongeza suala la lishe kwenye kaya, badala ya kukaa na mipango ambayo afua zake hazitekelezeki.

Manispaa ya Sumbawanga inasilimia 47 za udumavu kwa watoto waliochini ya umri wa miaka mitano ndani ya halmashauri hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa