• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

OFISI YA KAMISHNA WA ARDHI RUKWA YAWAFUATA WANANCHI MITAANI KUTATUA CHANGAMOTO ZAO

Ilibandikwa: October 27th, 2022

Ameandika Kisika S.J

Zaidi ya migogori 200 ya ardhi kwenye maeneo mbalimbali mkoani Rukwa imetatuliwa na Ofisi ya  Kamishna Msaidizi  wa Ardhi mkoani humo katika kipindi cha mwezi mmoja kutokana na utataribu mpya wa ulioanzishwa wa kuwafuata wananchi kwenye maeneo husika.

Kamishana Msaidizi wa Ardhi wa mkoa huo Swagile Msananga amesema baada ya kutafakari kwa kina ofisi yake imeamua kuja na utaratibu huo wa kumaliza changamoto za ardhi huko huko mitaani kwa kuwafuata wananchi kuwasikiliza na kutatua kero zao.

Swagile alisema utaribu huo huwajumuisha watumishi wote wa ofisi hiyo ambao wanakwenda mitaani kukutana na kuzungumza na wananchi na kwenda kuyatazama maeneo husika kisha kushauriana kwa pamoja na kupata muafaka, iwe ni suala la changamoto za kupata hati za nyumba, mashamba na hata migogoro ya mipaka.

“Unajua wako baadhi ya wananchi kuisogelea ofisi ya serikali kwao huwa ni shida, wanakuwa waoga, hivyo sisi tunakwenda mtaani ili kuwafanya wawe hurunkuzungumza na kuwapa maelekezo muhimu ya namna ya kufanya ili waweze kutatuliwa shida zao kwa haraka.

Aidha  Kamishana Msaidizi huyo wa Ardhi mkoa wa Rukwa alisema utaratibu huo unakwenda sanjari na jutoaji wa hati za ardhi huko huko mitaani baada ya wananchi husika kukamilisha taratibu zote za kiserikali juu ya umiliki wa ardhi.

Swagile alisema wameanza zoezi hilo katika Manispaa ya Sumbawanga kwa mitaa ya pembezoni na linaonekana kufurajiwa na wananchi wengi.

Kwa upande wa wananchi wamesema kuwa wanaunga mkoano utaratibu huo na wanaufurahia sana, huku wakiipongeza ofisi ya Kamishna wa ardhi mkoa wa Rukwa kwa kufanya kazi kwa uwazi, haraka na uaminifu katika kuwahudumia wananchi.



Ofisi ya hiyo ya Ardhi licha ya kufanya kazi kwa kushirikiana na Wataalamu wengine wa halmashauri, wanaamini kuwa mpango huo utaondoa changamoto na kesi nyingi za ardhi ambazo wananchi wamekuwa wakihangaika nazo kwa muda mrefu.


Matangazo

  • Matokeo ya kidato cha NNE 2022 yatangazwa... January 29, 2023
  • Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 December 18, 2020
  • Walichaguliwa Kidato cha Kwanza 2021 -PDF December 18, 2020
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU YA AWALI NA MSINGI TANZANIA BARA,JANUARY 2022. February 15, 2022
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • ZAIDI YA WANAFUNZI ELFU 50 KUPATIWA DAWA ZA MINYOO SUMBAWANGA

    November 24, 2022
  • VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA KIFEDHA MANISPAA YA SUMBAWANGA VYAPEWA ELIMU

    November 23, 2022
  • OFISI YA KAMISHNA WA ARDHI RUKWA YAWAFUATA WANANCHI MITAANI KUTATUA CHANGAMOTO ZAO

    October 27, 2022
  • MANISPAA YA SUMBAWANGA YAZINDUA MUUNGOZO WA ELIMU

    September 26, 2022
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa