• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

NHC yakataliwa ukandarasi wa majengo ya taasisi za serikali Rukwa.

Ilibandikwa: February 23rd, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amekataa maombi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kufanya ukandarasi wa majengo mbalimbali ya serikali mkoani Rukwa kutokana na kusimama kwa mradi wanaousimamia kutokamilika kwa muda wa miaka minne.

Maombi hayo yaliwasilishwa kwa Mkuu wa Mkoa na meneja wa Mkoa wa shirika hilo Mhandisi Musa Kamendu baada ya Mh. Wangabo kutembelea mradi wa nyumba 20 za NHC zilizopo sumbawanga mjini ili kujionea maendeleo ya ujenzi wa nyumba hizo ambazo umefikia asilimia 60.

Mradi huo wenye thamani ya shilingi bilioni 1.5 ambao ulianza mwezi juni 2014 na kusimama kutokana na shirika kukosa fedha za kuendeleza na kutarajiwa kuendelea ifikapo mwezi machi mwaka huu amabpo hadi kufikia hapo shilingi 867,990,367 zimeshatumika kati ya 1,532,473,872.

“Tunaona wakati mwwingine serikali inatoa kazi kwa SUMA JKT na kukarabati shule kama Kantalamba Sekondari, sisi kama mkandarasi daraja la kwanza, Mkuu wa Mkoa na viongozi wengine tunawaalika na tunawaomba mtupe hizo kazi, tutazifanya vizuri sana na kwa ufanisi mkubwa, tumesikia kuna miradi mingi, sisi kama wakandarasi tunaomba mtupe hizo kazi,” Mhandisi Kamendu alimalizia.

Katika kujibu maombi hayo Mh. Wangabo alitoa angalizo kuwa endapo mradi wa shirika umeshindikana kumalizika kwa wakati hali hiyo itakuwaje kama wakipewa mradi na taasisi nyingine ya serikali na kuwataka kwanza kumaliza mradi wao ili wawe na ushahidi wa kuonekana katika Mkoa wa Rukwa na sio kuishia kutoa mifano kwa miradi iliyofanyika katika mikoa mingine.

Thamani ya nyumba moja ni shilingi 139,680,000 na ikiwa haikumalizwa gharama yake ni shilingi 118,080,000 bila ya VAT.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • MKURUGENZI PENDO MANGALI AHIMIZA UADILIFU NA UWABIKAJI KWA WAHITIMU RIBM

    June 20, 2025
  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa