• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Mwenge wa Uhuru wazindua miradi ya Bilioni 8 Manispaa ya Sumbawanga.

Ilibandikwa: April 11th, 2017

Mwenge wa Uhuru umezindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi 13 yenye thamani zaidi ya bilioni 8 katika Manispaa ya Sumbawanga.

Hayo yalisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dk. Khalfan Haule wakati akiukabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen.

“Katika Manispaa ya Sumbawanga, Mwenge wa Uhuru ulikimbizwa katika maeneo mbalimbali na kufanya kazi za, Kuzindua, Kufungua, Kuweka mawe ya Msingi na kukagua Miradi yenye jumla ya Shilingi 8,283,067,927.20,” Dk. Khalfan alifafanua.

Miongoni mwa miradi iliyozinduliwa ni pamoja na kiwanda cha kusindika maziwa wenye thamani ya Tsh. 123,698,382 uliopo kata ya Kizwite na mradi wa ujenzi wa  Zahanati  katika Kijiji cha Luwa wenye thamani Shilingi 172,209,616 uliopo Kata ya Ntendo na Maabara ya Fizikia katika shule ya sekondari Mazwi wenye thmani ya tsh. 38,144,000.

Pamoja na hayo Mwenge wa Uhuru uliweka mawe ya msingi katika miradi kadhaa ikiwemo mradi wa kiwanda cha kujaza Gesi wenye thamani ya Shilingi 750,000,000 uliopo Kata ya Ntendo, Ujenzi wa shule mpya Kashai wenye thamani ya Tsh. 126,480,000 Katika Kata ya Momoka, Mradi wa Viwanja 153 wenye thamani ya Tsh. 600,000,000 katika Kata ya Ntendo na Barabara ya Lami 5 Km yenye thamani ya Tsh. 5,368,689,000 Kata ya Katandala & Majengo

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa