• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

“Miundombinu ikiimarishwa hakika viwanja vya nambogo vitajiuza vyenyewe,” RC Wangabo.

Ilibandikwa: March 16th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amemshauri Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga kuhakikisha anakamilisha miundombinu ya barabara na mahitaji muhimu katika mradi wa upimaji viwanja katika Kijiji cha Nambogo ili kuwavutia wanunuzi na matokeo yake kupata wateja kwa haraka kuliko hali ilivyo sasa.

“Miundombinu mbalimbali mkaisogeza, huduma za maji, umeme, kunajiuza kwenyewe, hapa ni karibu na barabara na kuko bize kwenda Mbeya kuliko upande huu wa kwenda Mpanda, hakikisheni mnaweka vibanda vya biashara na kituo cha basi na mhakikishe kuwa kituo hicho kinafanya kazi basi hivi viwanja vitajiuza vyenyewe na havitatosha, hivyo cha kwanza kuhakikisha miundombinu ya msingi ipo kisha patajiuza penyewe,” Alisisitiza.

Mradi huo wenye jumla ya viwanja 2161 vilivyopimwa katika eneo la Nambogo na Katumba Azimio vimetengwa maalum kwa matumizi mbalimbali ikiwemo makazi, biashara, shule, huduma za afya, maofisi, “Shopping Mall”, vituo vya mafuta, viwanja vya michezo na maeneo ya kupumzikia. Mradi ambao tayari umeshagharimu Tsh. 1,589,692,000.

Afisa Ardhi manispaa ya Sumbawanga Thadeo maganga amesema kuwa lengo la mradi huo ni kuwa mji wa kisasa utakaokuwa na huduma mbalimbali ili kupunguza msongamano wa kufuata huduma katika eneo la kitovu cha mji kwa siku za usoni na kuonheza upatikanaji wa viwanja vilivyopimwa na kuwekewa miundombinu ya msingi na hivyo kupunguza kasi ya ujenzi holela.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbwanga amesema kuwa tayari wameshaanza kupokea maombi ya mahitaji ya viwanja hivyo na kuwataka wananchi kuendelea kujitokeza ili kuongeza kasi ya ujenzi wa nyumba kwa maeneo hayo mapya na kuweza kutanua mji huku akibainisha juhudi zinazofanyika za kuongea na benki ya NMB kwaajili ya kuwakopesha wananchi ili waweze kumudu ununuzi wa viwanja hivyo.

“hapa tunazungumzia viwanja 2161 ni mradi mkubwa ambao NMB wanaweza wakakopesha, tupo katika mijadala ya awalai ambapo tunataka “tu-twist” sheria yao “wanayo-mortgage” mpango wa ujenzi, lakini lazima uwe umeshaanza kujenga, ila si tunawaambia hawa hawajaanza lakini waone jinsi gani ambavyo wanaweza, tunawasiliana makao makuu kama wataiona hii ni fursa ya waombaji 2000 ambao tunaweza tukaingia nao mkataba mdogo na NMB ili waweze kuwakopesha wanunue wakwatwe polepole ili kuufanya huu mji uwende kwa kasi,” Alimalizia.

Jumla ya viwanja 1997 vitauzwa kwa bei elekezi ambapo kwa kila mita moja ya mraba kwa makazi pekee ni 2,700/=, makazi na biashara 3,000/=, biashara 5,000/=, huduma za jamii 3,500/=, ibada/kuabudu 3,500/=, hoteli, vituo vya mafuta na maduka ya kiuwekezaji 5,000/=.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa