• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

MIRADI YA ZAIDI YA BILIONI 10 ZAPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2021

Ilibandikwa: September 20th, 2021

Mkoa wa Rukwa unaanza kukimbiza Mwenge wa Uhuru hii leo katika wilaya zake tatu ambapo jumla ya miradi 18 yenye thamani ya Shilingi Bilioni 10.5 inatarajiwa kuwekewa Mawe ya msingi na kukaguliwa.

Akizungumza wakati wa mapokezi ya Mwenge huo ukitokea katika mkoa wa Songwe, makabidhiano yaliyofanyika kwenye kijiji cha Tunko wilayani Sumbawanga, Mkuu wa mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti alisema katika gharama hiyo ya wananchi wamechangia Shilingi Milioni 101.4 sawa asilimia 0.9, huku halmashauri zikichangia Shilingi Milioni 183.094, wakati Wahisani wakichangia Shilingi 286.17 ambazo ni sawa na asilimia 2.7, huku serikali kuu ikichangia Shilingi Bilioni Bilioni 9.9 ikiwa ni sawa na asilimia 94.5

Akizungumzia ujumbe wa Mwenge huo mwaka huu, Mkuu wa mkoa wa Rukwa amesema ujumbe wa Mwenge unasisitiza umuhimu wa matumizi sahihi ya TEHAMA ambayo imesaidi ongezeko laa ukusanyaji wa mapato kutoka Shilingi Bilioni 5 hadi 8 kwa kupitia mifumo maalumu ya ukusanyaji wa mapato kwenye halmashauri zote za mkoa wa Rukwa.

Alisema mkoa wa Rukwa ina mifumo ya TEHAMA ipatayo 32 ambayo ipo kwenye taasisi mbalimbali ikiwa kwenye sekta ya utawala, Afya na Elimu ndani ya halmashauri zote nne.

Mkirikiti alisema mifumo ya TEHAMA inatumiwa na Taasisi na Wakala za serikali kama vile RUWASA,TEMESA,TANROADS,TRA,TANESCO na TARURA ambayo inachochea maendeleo ya mkoa na Taifa kwa ujumla.

Kuhusu mapambano dhidi ya Rushwa Mkuu wa mkoa wa Rukwa alisema katika kipindi cha Juni 2020 hadi Julai 2021 jumla ya malalamiko 269 yaliripotiwa TAKUKURU, ambapo kati ya hayo 102 hayahusiani na rushwa, ikiwa watuhumiwa 15 wamefikishwa mahakamani.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • MKURUGENZI PENDO MANGALI AHIMIZA UADILIFU NA UWABIKAJI KWA WAHITIMU RIBM

    June 20, 2025
  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa