• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Miradi ya TARURA

Ilibandikwa: March 8th, 2018

Serikali mkoani Rukwa imewataka Wakandarasi wanaofanya kazi za ujenzi wa barabara watakazozipata kutokana zabuni za Wakala wa barabara wa Mjini na Vijijini (TARURA) kuhakikisha wanaotoa ajira kwa makundi ya vijana na wanawake ambako miradi hiyo inapita.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo katika hotuba yake iliyosomwa kwa niaba yake na Katibu Tawala wa mkoa wa Rukwa Benard Makali wakati kikao cha ufunguzi wa makabidhiano ya mikataba ya ujenzi wa barabara zinazojengwa na TARURA katika mkoa wa Rukwa.

Katika kikao hicho kilichofanyika kwenye ukumbi wa RDC mjini Sumbawanga, Mkuu wa mkoa wa Rukwa alisema kuwa iko haja ya miradi ya TARURA kuwanufaisha watu wanaoishi kando ya barabara zinajengwa ili kuyafanya makundi ya vijana na wanawake kupata fursa ya kuiongea vipato na kuinua uchumi wao.

“Utakuta barabara inajengwa eneo fulani au mtaa fulani, lakini wanaopata ajira hapo wanatoka kwenye mikoa mingine tena mbali na eneo husika, hii haipendezi. Tunataka vijana hawa wapate kazi kwenye maeneo yao na suio vinginevyo”. Alisema Mh. Joachim Wangabo

Alisema ujenzi wa miradi hiyo ambayo inawasahau wananchi wa maeneo husika licha ya kuwanyima fursa lakini pia imekuwa ikileta manung’uniko mengi iwapo wanakosa fursa. Aliongeza kuwa zipo kazi nyingi ambao hazihitaji wataalamu kutoka mbali na zinaweza kufanya vijana wa maeneio husika.

Mratibu wa TARURA mkoani Rukwa Injinia Wilson Charles alisema jumla ya miradi yenye thamani ya zaidi ya Shilingi 2.8 itatekelezwa mkoani Rukwa ambapo Wandarasi 12 mkoani humu watapewa fursa ya kufanya kazi hizo huku wengine wakitoka nje ya mkoa wa Rukwa.

Injia Charles alizitaja kazi zinazotarajiwa kufanyika na TARURA ni pamoja na ujenzi wa barabara ya lami yenye urefu wa kilometa 1.0 inayotarajiwa kujengwa kwenye mji mdogo wa Namanyere wilayani Nkasi, ujenzi wa barabara kwa kiwango cha changarawe, kiwango cha udongo na ukarabati wa barabara mbalimbali.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa