• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Meya wa Sumbawanga aililia barabara ya Wipanga na Kankwale

Ilibandikwa: March 1st, 2019

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Sumbawanga Mh. Justin Malisawa amesikitishwa na ufinyu wa bajeti ya Wakala wa barabara Mijini na Vijiji (TARURA) iliyotengwa kwaajili ya ujenzi wa barabra inayolelekea katika Kijiji ca Wipanga na Kankwale.

Alisema kuwa wakati kukiwa umebaki mwezi mmoja kuupokea mwenge kuna mradi wa Zahanati ambapo manispaa ya Sumbawanga unataria mwenge ukazindue lakini hali ya barabara ya kuelekea huko si nzuri kiasi wanahofia mwenge usiweze kufika na kuwakosesha wananchi wa Kijiji hicho raha ya kuupokea mwenge.

“Kama sisi wote ni watanzania nataka niliseme hili Mwenyekiti na kama kuna mjumbe anabisha hapa tuweze kuondoka wote mimi wewe na timu hii tuseme kwamba tunafika katika Kijiji cha Kankwale, tuende barabara ya Wipanga; Senga – Sido – Wipanga, Mwenyekiti tukienda kule tukifika wote salama, mimi ninauwezo wa kuja kusimamisha shilingi hapa. Ninachotaka kusema kwa mwaka huu wa 2018/2019 tumepoteza kinamama wajawazito wawili na ukiangalia bajeti iliyotengwa huwezi kufanya chochote,” Alisisitiza.

Kwa upande wake Mratibu wa TARURA Mkoa wa Rukwa Mhandisi Boniface Wiliam alisema kuwa changamoto kubwa ni ufinyi wa bajeti hali inayopelekea kutokamilisha ujenzi wa barabara nyingi kwa wakati huku akiela bajeti iliyopangwa kwaajili ya kutengeneza maeneo korofi ya barabara ya Senga – Sido- Wipanga.

“barabara ya Wipanga ina Kilometa 13 na imetengewa shilingi milioni 50 kwa mwaka wa fedha 2018/2019 na pia mwaka wa fedha 2019/2020 imetengewa shilingi milioni 50 ili kurekebisha maeneo korofi ya barabara hiyo,”Aliwasilisha.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa