• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

MANISPAA YA SUMBAWANGA YAZINDUA MUUNGOZO WA ELIMU

Ilibandikwa: September 26th, 2022

Watendaji wa Ofisi ya Elimu katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga na Wakuu wa Shule za Sekondari sanjari na Walimu Wakuu wa wameshauriwa kujenga ushirikiano imara ili kuweza kutatua nchangamoto balimbali za elimu kwenye halmashauri hiyo.

Kutolewa kwa kauli hiyo kumeambatana na Uzinduzi wa Miongozo ya Elimu kwa Manispaa hiyo yenye lengo la kuboresha utendaji kazi kwa shule zote za Manispaa ya Sumbawanga.

Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Sebastian Waryuba alisema zipo changamoto nyingi kwenye shule hizo ambazo zinaathiri ufundishaji lakini zinaweza kumalizwa kwa kushariana kati aya Wataalkamu wa elimu na viongozi wanaoziongozo shule hizo.

Waryuba alisema kuwa ufanisi wa kazi kwenye shule zote za Sekondari na Shule za Msingi, unatatokana na uteuzi mzuri wa Wakuu wa Shule na Wlimu wakuu ambao wanahekima za uongozi na walioteuliwa kwa kufuata maadili bora ya uongozi na sio vinginevyo/

Aidha aliwataka Walimu Wakuu na Wakuu wa Shule kushirikiana vyema na Walimu wao kwa kutatua changamoto zao kwa lengo la kuwawezesha kufanya kazi kwa uhuru huku wakiwekeza akili yao katika kuwafundisha wanafunzi wao.


Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO March 23, 2023
  • RATIBA YA DARASA LA NNE 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • RAS KUSAYA AKABIDHIWA RASMI OFISI RUKWA

    March 27, 2023
  • SHULE BORA YAWEZESHA MAFUNZO YA UWAWA MKOANI RUKWA

    March 06, 2023
  • TANESCO KUCHUKUA TAARIFA ZA KIJIOGRAFIA ZA MIUNDOMBINU NA WATEJA MKOANI RUKWA

    February 23, 2023
  • WATAALAM WA AFYA WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA TAARIFA KATIKA ZOEZI LA CHANJO

    February 20, 2023
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa