• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Manispaa ya Sumbawanga yazidi kuboresha huduma za maji kwenye vijiji vyake

Ilibandikwa: March 13th, 2018

Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imefanikiwa kuongeza kiwango cha vijiji ambavyo vinapata maji ya bomba kutokana kupanuka kwa huduma hiyo kwenye vijiji mbalimbali ikiwa ni matunda ya miradi ya maji ya hivi karibuni na ya muda mrefu.

Mhandisi wa maji katika Manispaa ya Sumbawanga Mhandisi Kazoya Mong’ateko amesema ongezeko la wananchi wanaotumia maji limeongezeka kutoka asilimia 50 hadi 60.

Mhandishi Mong’ateko alisema kukamilika kwa miradi hiyo kumeongezeka huku kukiwa na vituo 64 vya kuteka maji hadi kufika vituo 424.

Alisema hivi karibuni Manispaa ya Sumbawanga imekamilisha na miradi ya maji ya mwaka 2017/18 katika mtandao wa bomba kwenye vijiji vya Kasense, Chipu, Matanga na Kisumba ambapo katika miradi hiyo jumla ya Lita 315,000 zinapatakana kila siku, huku ikifanikiwa kujenga tanki kubwa la maji katika eneo la Mtipe ambalo linakusanya maji kutoka chanzo cha Salumbwa- Chelenganya-Mtipe.

Aidha alidai kuwa katika miradi hiyo ya maji halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imefanikiwa kutatua matatizo ya wananchi kutembea umbali mrefu kusaka maji, sanjari na kupata magonjwa ya homa za matumbo katika vijiji hivyo.

Mhandishi Mong’ateko alisema bado Manispaa ya Sumbawanga inaendelea  kuweka mikakati ya miradi mipya ya maji katika vijiji ambavyo bado havina maji ya bomba na kuongeza kuwa katika mwaka ujao wa fedha wanatarajia kujenga miradi hiyo kwenye vijiji vya Katumba Azimio, Mawenzusi, Mponda na Mtimbwa.

Pamoja na hayo ametoa wito kwa wanachi hao kuitunza miradi hiyo ya maji kwa kuvitunza vyanzo vya maji na miundombinu yake.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa