• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Manispaa ya Sumbawanga yajipanga kusafisha mazingira

Ilibandikwa: December 11th, 2017

Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imeongeza maghuba 13 ya kuhifadhia uchafu yaliyosambazwa katika kata 12 za mjini kwa lengo la kupunguza kasi ya umwagaji taka ovyo unaofanywa na wananchi katika kata hizo.

Maghuba hayo yaliyotengenezwa kwa ajili ya kuimarisha shughuli za usafi wa Mazingira katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga yametengenezwa na Mzabuni wa ndani ya Sumbawanga Seleman Idd Kidenda ikiwa ni moja ya hatua za kukuza viwanda vidogo.

Kabla ya hapo Manispaa ilikuwa na maghuba 11 ambayo hayakuweza kukidhi mahitaji ya wananchi kuhifadhi uchafu huo na kupelekea kuenea kwa uchafu jambo lililopelekea Manispaa kuendelea kuimarisha mazingira ya mji.

Mgawanyo wa maghuba /kontena za kukusanyia taka ngumu katika kata Manispaa.

NO

KATA

MAHITAJI

YALIYOPO

PUNGUFU

ENNEO LILILOGAWIWA

1
MOMOKA
3
1
2
Eden
1

MAJENGO
4
2
2
Ofisi ya kata
1
Kanisa Neema
1
3
IZIA
5
4
1
Soko Sabasaba
2
Ofisi ya kata
1
Soko Bangwe
1
4
KATANDALA
8
5
3
Stendi kuu
Kasakalawe
Zahanati -Mzava
Ushauri bure
Bomani
1
1
1
1
1
5
SUMBAWANGA
4
1
3
Kanyau
1
6
CHANJI
4
2
2
Chanji stendi
Soko la Soweto
1
1
7
KIZWITE
4
2
2
Sokoni Kizwite
Soko OTC
1
1
8
MAZWI
5
5
0
Chitepo
Soko kuu
Mandela
Mbizi bar
Mission Mtaa
1
1
1
1
1
9
MSUA
4
1
3
Soko la Mwandendile
1
10
MAFULALA
4
1
3
Soko jipya
1
11
LWICHE
2
0
2
Hakuna
0
12
MALANGALI
2
0
2
Hakuna
0
JUMLA KUU
50
26
24
 
24

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa