• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Manispaa ya Sumbawanga imetakiwa kufikiria kuwa na kiwanda cha viatu.

Ilibandikwa: December 14th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameishauri Halmashauri ya manispaa ya Sumbawanga kuanza kufikiria kuwa na kiwanda cha viatu vya Ngozi ili kupunguza idadi ya viwanda 25 vipya walivyoagizwa kuwa navyo hadi kufikia Disemba 2018.

Mh. Wangabo ametoa ushauri huo baada ya kutembelea machinjio ya manispaa hiyo na kuona mzigo wa Ngozi za ng’ombe ukiwa umekosa soko na kuongeza kuwa soko la Ngozi hizo litaopatikana pale tu kiwanda kitakapooanza kufanya kazi na kuhakikisha wanashirikiana na shule kwaajili ya soko la viatu hivyo.

“Ngozi tunayo ndiyo malighafi, kiwanda kikowapi ili hii malighafi itumike, tuweke nguvu kubwa hapa kuanzisha kiwanda, Manispaa mna viwanda 25 mnatakiwa kuvianzisha hadi kufikia Disemba 2018, ikiwezekana mshirikiane na SIDO na wale wote wenye viwanda vidogo vinavyotumia malighafi ya Ngozi muwawezeshe ili tuweze kupanuka,” Alifafanua.

Machinjio hayo ambayo tangu mwezi July hadi Novemba 2017 wamechinja ng’ombe 3,807, mbuzi 1,211 na kondoo 98 na kuzalisha Ngozi zaidi ya 10,000 katika miezi 6 jambo linalowawezesha kuanzisha kiwanda kidogo kinakachopunguza idadi ya viwanda 25 walivyotakiwa kuanzisha kabla ya Disemba, 2018.

Nae Nae Afisa mifugo wa Manispaa ya Sumbawanga Nziku amesema kuwa machinjio hiyo ina uwezo wa kuchinja ng’ombe 50 na mbuzi na kondoo 10 kwa wakati mmoja lakini kwasasa inachinja ng’ombe 25 -30 na mbuzi na kondoo 5 – 10 kwa siku.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa