• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

“Ma-godown” ya Mjini Sumbawanga yapewa notisi mwisho mwezi wa 10.

Ilibandikwa: June 15th, 2018

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga Thadeo Maganga amewataka wamiliki wa maghala yaliyopo katikati ya mji, wenye vibali na wasio na vibali, kusimamisha shughuli zao hadi kufikia mwezi wa kumi mwaka huu, na kufanya utaratibu wa kuhamia katika eneo la Kanondo, kata ya Ntendo, lililotengwa maalum kwaajili maghala na viwanda vidogo.

Maganga ambae pia ni afisa mipango miji wa manispaa hiyo amesema kuwa ofisi ya mkurugenzi wa manispaa ilitoa barua ya notisi kwa wamiliki wote ikiwataka kutekeleza agizo hilo na kubainisha kuwa katika kuhakikisha mji unakaa kwa mpangilio, manispaa imetenga eneo la Kanondo lililopo kata ya Ntendo  maalumu kwaajili ya maghala na viwanda vidogo.

Kauli hiyo imetolewa baada ya diwani wa kata ya Majengo Mh. Dickson Mwanandenje kutaka kujua hatma ya utaratibu wa maghala yasiyo na vibali kuendelea kufanya shughuli zao katikati ya mji, swali ambalo aliliuliza katika kikao cha baraza ya madiwani hivi karibuni.

Katika ufafanuzi wake Maganga alisema kuwa kuna maghala nane yenye vibali ambayo yalijumuishwa kwenye michoro iliyopitishwa wakati mji unaanza ambayo yapo katikati ya mji katika kata za Mazwi na Jangwani na kuongeza kuwa kuna wamiliki wengine tisa walikodisha nyumba za watu na kuzigeuza kuwa maghala.

Kanondo ni eneo ambalo limetengwa kwa matumizi ya viwanda vidogo. Eneo hili lina ukubwa    mita za mraba 773,039 lipo  kando ya barabara ya kwenda Mpanda. Eneo litakalouzwa litakuwa na mita za mraba 553,422  sawa na ekari 136.7 lenye viwanja 153

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • MKURUGENZI PENDO MANGALI AHIMIZA UADILIFU NA UWABIKAJI KWA WAHITIMU RIBM

    June 20, 2025
  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa