• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

KONGAMANO LA VIJANA

Ilibandikwa: April 29th, 2019

Zaidi ya vijana 100 ambao ni wahitimu wa vyuo katika ngazi ya Stashahada na Shahada wameshiriki kongamano la kujadili tatizo la ajira kwa wasomi hao na kutafuta namna ya kujikwamua kiuchumi.

Kongamano hilo ambalo liliandaliwa na Mkururugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga Jacob Mtalitinya likiratibiwa na Idara ya Maendeleo ya Jamii katika halmashauri hiyo, limeshiriki Wananzuoni hao ambao wamehitimu katika kozi tofauti tofauti ikiwa ni pamoja na lengo la kubadilioshana uzoefu wa kitaaluma na mbinu mbalimbali za maisha.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga Jacob Mtalitinya alisema kuwa halmashauri yake imeamua kuandaa kongamano baada ya kubaini kuwa kuna kundi kubwa la vijana ambao ni wahitimu wa vyuo wako mitaani na wakiendelea kulalamika kukosa ajira licha ya kuwa  mkoa wa Rukwa una fursa nyingi za vijana kuweza kujiari wenyewe.

“Hivi sasa kuna wasomi wengi wanaohitimu vyuo vikuu, lakini bahati mbaya ni kuwa wengi wenu mnasubiri serikali iwape ajira jambao ambalo ni gumu kwa sasa, hivyo mnatakiwa kuzitumia changamoto hizo na kuzifanya kuwa fursa katika kupata ajira”.alisema.

Mkurugezi huyo aliwaambia wasomi hao kuwa  mkoa wa Rukwa kuwa na ardhi ambayo kwa sehemu kubwa bado haijatumika kwa kilimo, lakini pia kuna fursa ya kujishughulisha ufugaji, uvuvi na hata usindikaji wa mazao mbalimbali.

Vijana hao pamoja na kufundishwa mbinu za uandishi wa maandiko mpango mradi katika mbinu za kujiari wenyewe, pia walipata fursa ya kujifunza kutoka kwa wataalamu na vijana wenzao waliothubutu kujikita kwenye miradi ya kilimo, ufugaji, mapishi na utengenezaji wa chaki ambao wengi wao wamewezeshwa na halmashauri hiyo kwa maarifa au mitaji yao.

Hatahivyo mara baada ya mafunzo hayo Mkurugenzi huyo wa Manispaa aliwataka vijana hao kuandika maandiko mengine ya miradi kupitia vikundi vyao au mtu mmoja mmoja ili wawezeshe kwa kupewa mikopo na halmashauri hiyo kwa kipindi cha mwezi Mei au Juni.

Hadi hivi sasa halmsahauri ya Manispaa ya Sumbawanga imekwishatoa mikopo zaidi ya Shilingi Milioni 170 kwaajili ya makundi ya vijana, wanawake na walemavu katika kipindi cha mwaka wa fedha 2018/19, ikiwa rekodi mpya kwa Manispaa hiyo kutoa mikopo kwa makundi hayo.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa