• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi & Mipango Miji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mazingira na Taka Ngumu
      • Mipango na Uchumi
      • Utawala & Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Internal Audit Unit
      • Legal Service Unit
      • Info,Comm & Techno Unity
      • Procurement Management Unity
  • Fursa za uwekezaji
    • Natural Resource and Environmental Consarvertion
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

IDARA YA KILIMO MANISPAA YA SUMBAWANGA YASHAURIWA KULIMA KWA WINGI BROKOLI

Ilibandikwa: August 5th, 2022

Idara ya Kilimo ya Manispaa ya Sumbawanga imepata mwaliko wa kutembelea Bonde la Ziwa Rukwa katika kijiji cha Kapenta kwaajili ya kwenda kutoa elimu ya upandaji wa mboga aina ya Broccol (Brokoli) ambayo inapendwa na familia moja yenye asili ya Kimarekani wanaoishi huko.

Mwaliko huo unafuatia ziara ya Mkurugenzi wa Kikundi cha Hodari Group Tedi Paulo Rabenold ambaye alifika kwenye Banda ka Maonesho ya Nanenane Jijini Mbeya  la Manispaa ya Sumbawanga na kujionea vipando mbalimbali vilivyoandaliwa.

Banda ka Manispa ya Sumbawanga ambalo lipo upande Kaskazini Mashariki mwa uwanja huo wa Maonesho hayo karibu na kituo bubu cha treni, licha ya kuwa na bidhaa mbalimbali ambazo ziko ndani ya banda hilo lakini kwa nje kuna vipando vya mbogamboga na mazao mengine kama ngano, alizeti, vitunguu, Pilipili Hoho, nyanya na mahindi.


Ujio wa Tedi kwenye eneo hilo ulimshangaza kukutana na mboga jiyo aina ya Brokoli ambayo alisema kuwa ni mboga kipenzi kwa familia yake hususan mkewe ambaye hulazimika kusafiri hadi Jijini Dar es salaam kuitafuta katika Super market.

“Mimi nilikuwa sijui kuwa nyie Wataalamu wa Manispaa ya Sumbawanga kuwa mnaweza kuzalisha hii mboga, maana ni mboga nzuri, nashauri endelea kuwaambia watu uzuri mboga hii na faida yake katika lishe, hongereni sana”.alisema Tedi



Hatahivyo Tedi aliwaomba Wataalamu hao kutembelea nyumbani kwake ili waweze kutoa ujuzi huo katika kupanda na kuitunza mboga hiyo.

Mboga aina ya Brokoli kwa mujibu wa Wataalamu inathamini kuwa katika mwili wa binadamu kwa mtumiaji anaweza kujikinga dhidi maradhi ya moyo, kuzuia utapiamlp kwa watoto, ambapo unaweza kuipika kwa kuchanganya na nyama au kwenye mboga zingine na hata pekee yake.

Kwa taarifa zaidi tembelea Banda la Manispaa ya Sumbawanga ambapo utaonana na Wataalamu wakiongozwa na Mkurugenzi wa Manispaa Jacob Mtalitinya.

Licha ya mambo mambo mengineyo kikundi cha Hodari Group cha wilayani Sumbawanga kinachoongozwa na Tedi kinajishughulisha na kilimo cha mazao mbalimbali ya matunda kama vile Nazi, Mapapai, Ndimu, Mananasi na machungwa katika Bonde la Ziwa Rukwa.

Matangazo

  • Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 December 18, 2020
  • Walichaguliwa Kidato cha Kwanza 2021 -PDF December 18, 2020
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU YA AWALI NA MSINGI TANZANIA BARA,JANUARY 2022. February 15, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA. December 07, 2019
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • RC QUEEN SENDIGA AANZA NA KUPAMBANA NA SUALA LA UDUMAVU RUKWA

    August 07, 2022
  • IDARA YA KILIMO MANISPAA YA SUMBAWANGA YASHAURIWA KULIMA KWA WINGI BROKOLI

    August 05, 2022
  • MAZIWA YA SUMBAWANGA MILK YANAPENDWA NA WATU WENGI NANENANE

    August 03, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWENYE SENSA H/MANISPAA YA SUMBAWANGA

    July 27, 2022
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa