• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

IDARA YA KILIMO MANISPAA YA SUMBAWANGA YASHAURIWA KULIMA KWA WINGI BROKOLI

Ilibandikwa: August 5th, 2022

Idara ya Kilimo ya Manispaa ya Sumbawanga imepata mwaliko wa kutembelea Bonde la Ziwa Rukwa katika kijiji cha Kapenta kwaajili ya kwenda kutoa elimu ya upandaji wa mboga aina ya Broccol (Brokoli) ambayo inapendwa na familia moja yenye asili ya Kimarekani wanaoishi huko.

Mwaliko huo unafuatia ziara ya Mkurugenzi wa Kikundi cha Hodari Group Tedi Paulo Rabenold ambaye alifika kwenye Banda ka Maonesho ya Nanenane Jijini Mbeya  la Manispaa ya Sumbawanga na kujionea vipando mbalimbali vilivyoandaliwa.

Banda ka Manispa ya Sumbawanga ambalo lipo upande Kaskazini Mashariki mwa uwanja huo wa Maonesho hayo karibu na kituo bubu cha treni, licha ya kuwa na bidhaa mbalimbali ambazo ziko ndani ya banda hilo lakini kwa nje kuna vipando vya mbogamboga na mazao mengine kama ngano, alizeti, vitunguu, Pilipili Hoho, nyanya na mahindi.


Ujio wa Tedi kwenye eneo hilo ulimshangaza kukutana na mboga jiyo aina ya Brokoli ambayo alisema kuwa ni mboga kipenzi kwa familia yake hususan mkewe ambaye hulazimika kusafiri hadi Jijini Dar es salaam kuitafuta katika Super market.

“Mimi nilikuwa sijui kuwa nyie Wataalamu wa Manispaa ya Sumbawanga kuwa mnaweza kuzalisha hii mboga, maana ni mboga nzuri, nashauri endelea kuwaambia watu uzuri mboga hii na faida yake katika lishe, hongereni sana”.alisema Tedi



Hatahivyo Tedi aliwaomba Wataalamu hao kutembelea nyumbani kwake ili waweze kutoa ujuzi huo katika kupanda na kuitunza mboga hiyo.

Mboga aina ya Brokoli kwa mujibu wa Wataalamu inathamini kuwa katika mwili wa binadamu kwa mtumiaji anaweza kujikinga dhidi maradhi ya moyo, kuzuia utapiamlp kwa watoto, ambapo unaweza kuipika kwa kuchanganya na nyama au kwenye mboga zingine na hata pekee yake.

Kwa taarifa zaidi tembelea Banda la Manispaa ya Sumbawanga ambapo utaonana na Wataalamu wakiongozwa na Mkurugenzi wa Manispaa Jacob Mtalitinya.

Licha ya mambo mambo mengineyo kikundi cha Hodari Group cha wilayani Sumbawanga kinachoongozwa na Tedi kinajishughulisha na kilimo cha mazao mbalimbali ya matunda kama vile Nazi, Mapapai, Ndimu, Mananasi na machungwa katika Bonde la Ziwa Rukwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • MKURUGENZI PENDO MANGALI AHIMIZA UADILIFU NA UWABIKAJI KWA WAHITIMU RIBM

    June 20, 2025
  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa