• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

HOSPITALI YA WILAYA YA MANISPAA YA SUMBAWANGA YAANZA KUTOA HUDUMA

Ilibandikwa: May 5th, 2022

Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imezidi kupanua wigo wa utoaji huduma kwa sekta ya afya kwenye halmashauri hiyo baada ya kufunguliwa kwa hospitali mpya ya wilaya ya halmashauri hiyo na zahanati  moja zaidi.

Kufunguliwa kwa halmashauri hiyo kunafuatia taarifa ya Mkurugebzi wa halmashauri hiyo Jacob Mtalitinya ambaye amesema kuwa hospitali ya wilaya iliyopo eneo la Isofu inafunguliwa baada ya kukamilika kwa baadhi ya majengo ya kutolea huduma.

Mtalitinya alisema kuwa ameridhishwa na ukaguzi na maendeleo ya ujenzi wa majengo hayo na ushauri na Wataalamu wa afya ambao taarifa yao inaonesha kuwa vifaa tiba  vilivyopo vinaweza kuanza kutoa huduma kwa kiwango bora.

Mkurugenzi alisema hospitali hiyo ambayo imeanza  kutoa huduma na alizitaja huduma zitakazoanza ni pamoja na wagonjwa wa nje, huduma ya Baba, Mama na mtoto, huduma ya Maabara na upimaji wa virusi vya Ukimwi.

Mtalitinya alisema kuanza kufanya kazi kwa hospitali hiyo kunasogeza huduma maeneo ya karibu zaidi kwa wananchi ambapo awali Manispaa hiyo ilikuwa ikitegemea kupata huduma katika ngazi ya wilaya kwa kushirikiana na hospitali Teule ya Dk.Atman iliyopo mjini Sumbawanga.

Aidha Mkurugenzi huyo alisema kuwa licha ya kufunguliwa kwa hospitali hiyo pia jitihada zimefanyika za kuzidi kuimarisha utoaji wa huduma katika ngazi ya vijiji na hivi sasa katika tarehe hiyo pia kutafunguliwa zahanati ya kijiji cha Nambogo ambayo iko kwenye kata ya Milanzi.

Katika zahanati hiyo nako huduma zitakazotolewa ni pamoja na wagonjwa wa nje, huduma ya Baba, mama na mtoto pamoja na maabara.

Licha ya huduma hizo ambazo zinafunguliwa, Manispaa hiyo hivi sasa inajenga vituo vya Afya viwili katika Kata za Mollo na Matanga,lakini pia zahanati ya kijiji cha Mponda na Pito, huku Mkurugenzi Mtalitinya akimshukuru Rais Samia kwa kutoa fedha za ujenzi wa vituo hivyo vya afya na zahanati.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • MKURUGENZI PENDO MANGALI AHIMIZA UADILIFU NA UWABIKAJI KWA WAHITIMU RIBM

    June 20, 2025
  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa