• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Halmashauri za mkoa wa Rukwa zatakiwa kutumia vyombo vya habari kuhamasisha ukusanyaji mapato

Ilibandikwa: May 3rd, 2017

Uongozi wa halmashauri za mkoa wa Rukwa umetakiwa kutumia Waandishi wa habari wa mkoa huo kwaajili ya kuhamasisha ukusanyaji wa mapato  kwa halmashauri zao.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa mkoa wa Rukwa Zelote Stephen Zelote katika mkutano wa Wadau wa habari wa mkoa huo uliofanyika katika kilele cha Uhuru wa habari kwenye ukumbi wa Bomani mjini Sumbawanga.

Mkuu wa mkoa alisema kuwa halmashauri zimekuwa zikihangaika kuongeza mapato yake lakini zimekuwa zikikosa kiunganishi cha moja kwa moja kwa wananchi wake kutokana kukosa ushirikiano wa moja kwa moja.

Zelote alisema kuwa vyombo vya habari vikitumiwa vyema vinaweza kuwa msaada kwa kutoa elimu kwa wananchi ambao wataelewa umuhimu wa kulipa kodi na ushuru hivyo kuziwezesha halmashauri hizo kujiendesha kwa mapato yake.

Pia alizitaka halmashauri kutoweka urasimu wa utoaji wa taarifa mbalimbali ambazo zimekuwa zihitajika na Waandishi wa habari jambo ambalo limekuwa likiwavunja moyo wadau hao wa habari lakini pia hata halmashauri hizo zinakosa fursa ya kujitangaza ndani na nje ya mkoa.

“Unakuta Mwandishi anazunguka muda mrefu kutafuta habari kwenye ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri na anaambiwa nenda rudi siku na mwisho wa siku anakata tamaa”. Alisema Mkuu huyo wa mkoa.

Aidha katika mkutano huo wa wadau , uongozi wa Klabu ya Waandishi wa habari mkoani Rukwa walimwomba Mkuu huyo wa mkoa kuwasaidia katika kufanikisha mchakato wao wa maombi ya viwanja kwaajili ya ujenzi wa ofisi ya klabu hiyo na makazi ya Waandishi hao wa habari.

Akijibu hoja hiyo Mkuu huyo wa mkoa alisema atahakikisha anafuatilia suala hilo na kumwagiza Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga kufuatilia suala hilo kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga na majibu yake yapatikane ndani ya siku 30.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa