• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Boda Boda wahamasika kujitolea damu Manispaa ya Sumbawanga.

Ilibandikwa: July 23rd, 2018

Umoja wa madereva wa bodaboda katika manispaa ya Sumbawang, mkoani Rukwa  wamehamasika kujitolea damu ili kukabiliana na upungufu wa upatikanaji wa damu katika vituo vya afya pamoja na hospitali ya rufaa ya Mkoa ili kuokoa maisha ya kina mama wajawazito na watoto wachanga.

Akiyasema hayo katika kuhamasisha madereva wenzie Mwenyekiti wa Bodaboda Mkoa wa Rukwa,Leonard Mirambo ameiomba serikali kuwa damu wanayotoa nao pia iwafae hasa pale wanapopata ajali na kuhitaji huduma hiyo katika vituo mbalimbali vya afya  na kuomba kuthaminiwa kama wanavyothaminiwa makundi mengine katika jamii.

“Tunaishukuru serikali kwa jitihada zake za uboreshaji wa huduma za fya, sisi kama umoja wa madereva mkoa wa Rukwa hususan manispaa ya Sumbawanga tumehamasika kutoa damu ila kwa maana moja tu kwamba na sisi zitufae,” Alisema.

Kwa upande wake mganga mkuu wa manispaa ya Sumbawanga Dkt. Archie Heller amewaomba wananchi kujitokeza kwa wingi katika zoezi hilo la kuchangia damu chini ya kauli mbiu ya mpango wa taifa wa damu salama “Jitolee kwaajili yaw engine, changia damu, kuzuia vifo vya mama wajawazito na watoto”.

“Mwaka 2017/2019 wajawazito 9 walipoteza maisha kwa kutokwa na damu nyingi kati ya vifo 33 vilivyotokea, ambayo ni sawa na 27% ya vifo kwa mama wajawazito wakati wa kujifungua, lakini licha ya damu hii wanayochangia kuokoa maisha ya wajawazito damu hii pia itatumika kuokoa maisha ya majeruhi wa ajali mbalimbali,” Dkt. Heller alisema

Nae mganga mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Rukwa Dkt. John Lawi amesema kuwa hospitali nyingine za Mkoa wa Rukwa huomba damu kutoka katika hospitali ya mkoa na kufanya mahitaji hayo kuwa mengi zaidi na kusisitiza kuwa damu hiyo hutolewa bure na yeyote atakayedaiwa pesa, atoe taarifa itashughulikiwa.

 “Hii damu zinazochangiwa sio zote zinazokidhi vigezo nyingine huishia kumwagwa na vipimo vya damu hii hufanywa hospitali ya rufaa ya Mbeya na wahitaji wengi wa damu ni kinamama wajawazito, watoto wachanga, ajali za barabarani  hasa bodaboda lakini pia bajaji na magari na wagonjwa wa malaria wanaotoka ukanda wa ziwa Tanganyika na wa bonde la ziwa Rukwa,” Dkt, Lawi alisema.

Hali ya upatikanaji wa damu kwa sasa Manispaa ya Sumbawanga ni asilimia 46 sawa na chupa 240 kati ya chupa 520 zinazotakiwa kukusanywa kwa miezi 3, huku hospitali ya rufaa ya mkoa wa Rukwa ikitumia chupa 330 kwa miezi mitatu ambayo ni sawa na chupa 110 kwa mwezi.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa