• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Kilimo

 SEKTA YA KILIMO

 Hali ya chakula

 Msimu wa kilimo 2016/2017 Halmashauri ya Mnispaa ya Sumbawanga ililenga kulima jumla ya hekta 58,188 za mazao mbalimbali kati ya hizo hekta 34,851 ni za mazao ya jamii ya nafaka, hekta 1,940 za mazao ya jamii ya mizizi, hekta 14,808 ni mazao ya jamii ya mikunde na hekta 5,720 za mazao ya mafuta.

Lengo la mavuno lilikuwa ni tani 146,203 kwa mazao yote kwa ujumla ambapo kati ya hizo tani 102,491 ni za mazao ya nafaka, 12,767 ni za mazao jamii ya mizizi, tani 17,757 ni za mazao jamii ya mikunde na tani 6,828 ni ya mazao ya mafuta. Katika kutekeleza malengo hayo, jumla ya hekta 58,025.3 zililimwa ambapo kati ya hizo hekta 34,759 za mazao ya nafaka, hekta 1,946 za mazao ya mizizi, hekta 5,728   za mazao ya mafuta na hekta 14,808 za mazao ya mikunde.

Mavuno yalikuwa tani 144,867.95 ambapo kati ya hizo tani 102,299.4 zilikuwa za mazao ya nafaka, tani 12,807 za mazao ya mizizi, tani 6,837.8 za mazao ya mafuta na tani 17,758.2 za mazao ya mikunde.

Idadi ya watu katika Manispaa ya Sumbawanga ni 209,793 kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, ambapo kwa mwaka huu 2017 inakadiriwa kuwa na ongezeko la idadi ya watu wapatao 250,165 hivyo, mahitaji ya chakula kwa mazao ya nafaka ni tani 75,049.5 na mikunde ni tani 25,016.5 kwa hiyo kipo chakula cha kutosha na ziada ya tani 27,249.9 za nafaka na tani 7,257.8 za mikunde.

Katika msimu wa mwaka 2017/2018 Manispaaa inalenga kulima jumla ya hekta 58,029 za mazao mbalimbali kati ya hizo hekta 26,186.3 ni za mazao ya nafaka, hekta 2,369.1 ni za mazao ya mizizi, hekta 4,862.4 ni za mazao ya mafuta, na hekta 22,380 ni za mazao ya mikunde.

Malengo ya mavuno ni jumla ya tani 149,542 kati ya hizo mazao ya nafaka ni tani 88,268.26 mazao ya mizizi ni tani 15,767.9 mazao ya mafuta ni tani 3,698.7 na mazao ya mikunde ni tani 26,684.7.

Kwa msimu wa mwaka 2017/2018 mahitaji ya pembejeo ni kama ifuatavyo, mbolea ya kupandia (DAP) tani 6,009 mbolea ya kukuzia (UREA na CAN), tani 6,009 na mahitaji ya mbegu zao la mahindi ni tani 581 na mazao mengine ni tani 2,694. Shughuli za kilimo kwa kiasi cha asilimia zaidi ya 85 kunategemea zana zinazokokotwa na ng’ombe (maksai) kilimo kwa kutumia zana za kisasa (matrekta) ni kwa kiwango, kwani mpaka sasa yapo matrekta 32 katika Halmashauri nzima.

Halmashauri inaendelea kuhamasisha wakulima wajiunge katika vikundi (AMCOS) ili waweze kuchangia mitaji na kuweza kukopeshwa matrekta ambayo yatachangia kuongeza uzalishaji na kupunguza harupu kwa wakulima.

Mikakati ya Kukabiliana na Changamoto katika Sekta ya Kilimo

 Ili kuweza kufikia malengo hayo hapo juu, Halmashauri imejipanga kufanya mambo yafuatayo:

 

  • Kuanzisha mashamba darasa kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya kilimo mfano Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV), ambao mkakati wao ni kuongeza uzalishaji kwenye zao la alizeti.
  • Kila Afisa Ugani atakuwa na shamba la mfano (Shamba darasa) ili kuweza kuwapa elimu wakulima kwa vitendo na kwa kuzingatia kanuni za kilimo bora.
  • Kuyaelekeza makampuni ya pembejeo kuweka mashamba ya mfano ili wakulima waweze kuona na kutambua pembejeo zinazofaa katika maeneo yao. Makampuni hayo ni pamoja na SEEDCO,  KIBO SEED CO, MERU Agro Tours, YARA, SYNGENTA, Export Trading Group (ETG) na PANNAR ambapo kwa jumla tunatarajia kuwa na mashamba ya mfano 82.
  • Halmashauri inaendelea kuhamasisha na kutoa elimu kwa wakulima kujiunga katika vyama vya ushirika vya mazao na vyama vya kuweka na kukopa (AMCOS na SACCOS) ili kuweza kuinua mitaji na kupata huduma za mikopo ya pembejeo na zana za kilimo yenye masharti nafuu.
  •  
  • Halmashauri ina jumla ya vyama 2 ambavyoviko kwenye mchakato wa kupata mikopo ya pembejeo. Vyama hivyo kwa Halmashauri ni NTENDO MUUNGANO SACCOS & LUWA AMCOS.

 

Changamoto Kubwa ya Kilimo

Kuna changamoto ya soko la zao la mahindi ambapo kwa sasa ni kati ya shilingi 30,000 hadi 42,000 kwa gunia la kilo mia moja na bei ya maharage ni kati ya shilingi 120,000 hadi 180,000 kwa gunia la kilo mia moja na bei ya mpunga ni kati ya shilingi 75,000 hadi 90,000 kwa gunia la kilo 75.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa