• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Biashara

Mafunzo mbalimbali yanayoendelea kutolewa na Manispaa ya Sumbawanga kuongeza uelewa wa sekta ya viwanda, biashara na uwekezaji

Kutoa elimu ya biashara kwa vijana

Kwa kushirikiana na Taasisi zingine za umma kama SIDO, VETA na Vyuo vya kilimo; Manispaa itatoa mafunzo juu ya;-

a)         Kuboresha shughuli za uzalishaji wa mazao ya kilimmo na mifugo

b)         Usindikaji wa mazao ya mifugo na kilimo

c)         Kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya kilimo na mifugo,

d)        Uzalishaji wa bidhaa mbalimbali mfano sabuni, madawa ya chooni, ufumaji na ushonaji wa nguo, utengenezaji wa viatu nk.

e)         Utengenezaji wa zana za kilimo

f)          Utengenezaji wa vifaa vya ujenzi kama vile tofali, chokaa, malumalu, vioo nk.

g)         Kuweka kumbukumbu za biashara,

h)         Elimu ya uongozi kwa vikundi vilivyoundwa

Mwaka 2017/18 Manispaa imetenga Tshs 1,400,000/- kwa ajili ya kutoa mafunzo juu ya usindikaji mazao kwa Wajasiliamali. Mafunzo yatatolewa na SIDO kwa Kushirikiana na Manispaa.

ii.         Kuunganisha vijana katika vikundi

Ili kuwa na usimamizi mzuri na nguvu yenye msukumo katika masuala ya kibiashara za viwanda Manispaa itawaunganisha Vijana katika vikundi vya ushirika ambapo wataweza;-

a.         Kukuza mitaji ya biashara kupitia mikopo itakayopatikana kwa urahisi kwenye Taasisi za fedha, viingilio vya wanachama, ada, michango na hisa za wanachama.

b.         Uundwaji wa ushirika mkubwa utakaosimamia na kulea vikundi vidogovidogo vya ushirika ambacho kitakuwa ni chombo kikuu na sauti ya wafanyabiashara kwa kusimamia utoaji wa mikopo na uendeshaji wa vikundi vya ushirika ndani ya Manispaa

iii.       Kuunganisha  vijana na taasisi za fedha

Vijana na wanawake wanakabiliwa na ukosefu wa mitaji ya kutosha kuendesha biashara zao. Kwa kuwa uwezo wa Manispaa ni mdogo hasa mapato yake ya ndani kuwezesha wafanyabiashara wote hivyo Manispaa itawaunganisha wafanyabiashara kupitia umoja wao uliosajiliwa (Ushirika) na Taasisi za fedha ambazo zinatoa mikopo kwa masharti nafuu. Ili kuwawezesha wafanyabiashara kufanya uchaguzi na maamuzi ya Taasisi wanazotaka kuchukua mikopo Manispaa itakuwa na jukumu la kutafsiri Sera na Miongozo kwa wafanyabiashara wadogodogo.

Halmashauri inalengo kuu la kuanzisha Benki ya Wananchi wa Manispaa ambayo umiliki wake utajumuisha umoja wa wafanyabiashara hasa wadogowadogo (Wakulima, Wafugaji, Mamalishe, Waendesha Bodaboda na Bajaji, Machinga, Vikundi vya vijana na wanawake n.k). mfano wa benki za aina hii ni “Mufindi Community Bank”, “Dar Es Salaam Community Bank” na “Mwanga Community Bank”.

iv.        Kutoa taarifa za masoko

Ili wafanyabiashara Vijana waweze kufanya biashara kulingana na mahitaji ya soko Manispaa itakuwa na jukumu la kutafuta taarifa za biashara na masoko na kuwapatia wafanyabiashara. Taarifa za kibiashara zitakazotafutwa na Manispaa kwa ajili ya wafanyabiashara ni kama ifuatavyo:-

a.         Bei ya bidhaa

b.         Mahitaji ya bidhaa katika viwanda vilivyopo,

c.         Ubora wa mali ghafi zinazohitajika viwandani

d.         Usafirishaji

e.         Walaji

v.         Kudhibiti na kukagua hesabu za vikundi

Ili kujiridhisha na usimamizi, matumizi ya rasilimali fedha na kuhakikisha uendelevu wa vikundi unakuwepo Manispaa itahakikisha inasimamia zoezi la kufanya ukaguzi na kutekeleza ushauri wa wakaguzi. Ukaguzi utafanywa na wakaguzi wa ndani na wakaguzi walioidhinishwa na Serikali (COASCO).

vi.        Kufanya tafiti za kibiashara na masoko

Ili kuendana na mahitaji ya sasa kulingana na sayansi na teknolojia Manispaa itakuwa na jukumu la kufanya tafiti za kibiashara na masoko ili kujua fursa mpya za biashara na masoko. Kwa mfano;-

a.         Hitaji la kuanzisha biashara mpya tofauti katika eneo letu kwa mfano kilimo cha maua, vanilla, kilimo cha mbogamboga kulingana na mahitaji ya nchi jirani.

b.         Kufanya tafiti za uwezo na uhitaji wa kuwa na eneo moja au kikundi kimoja kinachozalisha bidhaa ya aina moja (One District One Product)

vii.      Kukuza jitihada za ubunifu

Ili kuhakikisha maendeleo ya Manispaa yanakuwa endelevu, uwekezaji katika sayansi na technolojia nafuu inayobuniwa na kusanifiwa Wilayani ni muhimu sana. Hali ilivyo sasa ni kwamba wapo Vijana na Wanawake wanaofanya shughuli mbali mbali kwa kutumia vipaji vyao lakini hawajatambuliwa na kuunganishwa na mitaji na masoko ili kuboresha shughuli wanazofanya na kuendeleza ubunifu wao. Ubunifu uliyopo sasa ni utengenezaji wa zana za kilimo, viatu, ushonaji mavazi, na utengenezaji wa mapambo ya nyumbani kwa kutumia udongo mfinyanzi. Kwa Mwaka 2017/18 Manispaa imetenga Tshs 10,000,000/- kwa ajili ya kuinua vipaji na jitihada za ubunifu.

Idadi ya Waliopewa Leseni za Biashara kuanzia 2014/2015-2016/2017

No 

Aina ya Biashara

Idadi ya Waliopewa Leseni za Biashara

2014/2015

2015/2016

2016/2017

1
Sub whole shops

5

9

12

2
Retail shops

579

605

718

3
Milling machines

110

145

168

4
Textile and garments retail

130

192

256

5
Guest houses

70

78

93

6
Selling medicines retail

40

52

85

7
Dispensaries (private)

4

5

6

8
Butchery shops

28

32

69

9
Restaurants

8

14

27

10
Selling of bicycle spare parts retail

6

9

12

11
Second hand clothes retail

56

73

88

12
Hardware and building materials retail

18

28

41

13
Kiosk/groceries

310

403

572

14
Crop buying

39

51

75

15
Soft drink agents

11

18

23

16
Photo studios

6

6

9

17
Welding works

20

33

62

18
Garages

5

8

12

19
Selling of fish

9

13

21

20
Petrol and filling stations

5

7

11

21
Timber and furniture retail

22

31

44

22
Agricultural inputs

41

41

49

23
Bookstore and stationery

20

33

39

24
Hides buying

2

2

4

25
Livestock trading

2

3

5

26
Selling spare parts for motor vehicles

5

9

11

27
Medium scale  industries

2

2

3

28
Itinerant trade

11

18

30

29
Hair saloon/barber shop

28

41

72

30
Selling spare parts for motor cycles

8

10

13

31
Building contractors

12

18

23

32
Household items

18

18

23

33
Tailoring shops

15

18

28

34
To show video pictures

3

9

11

35
Attended telephone offices

3

5

8

36
Lubricants

5

8

10

37
Carpentry

7

11

21

38
Tendering business

8

11

12

39
Charcoal

1

3

7

40
Auctioneer

2

3

3

42
Pool

-

1

1

43
Voda shop

-

1

1

44
Whole sale

5

6

7

 45
Secretarial services

3

4

4

 46
Broker

-

1

1

47
Eye clinic

2

2

3

48
Entertainment Hall

3

3

3

49
Printing  Press

2

2

2

50
Used  spare parts

5

6

6

51
Electrical Equipment

6

8

10

52
Insurance Agent

2

2

3

53
Office Equipment

8

11

13

54
Agro vet

2

5

6

55
Internet services

1

2

2

56
Scrapper

3

6

7

57
M- Pesa shop

8

14

32

 
TOTAL

42

2,149

2,877

Source: Municipal Department of Industries and trade    

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa