• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Viwanda

VIWANDA VILIVYOPO

Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga ina jumla ya viwanda 493 vikihusisha viwanda vikubwa, vya kati na vidogo kama inavyojionyesha hapo chini.

Na.
Aina ya Kiwanda
Uzalishaji
Idadi
1
Viwanda Vikubwa
Kiwanda cha Nyama, Unga na Maji
3
2
Viwanda vya Kati
Uzalishaji wa Unga
4
3.
Viwanda vidogo
Kukamua mafuta, ufundi na nafaka
486

                                                                                         JUMLA
493


Kiwanda cha Dew Drop

Energy Milling

 SAAFI kiwanda cha Nyama, Sumbawanga 


Manispaa imeandaa maeneo yafuatayo kwa ajili ya uendelezaji wa viwanda:-

Halmashauri imepima viwanja 153 vyenye ukubwa wa hekta 138.36 mita za mraba 560,000 katika kijiji cha Kanondo (Kanondo Industry Area) kwa ajili ya uwekezaji katika Sekta ya Viwanda. Jumla ya TZS 524M zimetumika kutwaa eneo la mradi, kugharamia upimaji na kuandaa michoro ya viwanja. Viwanja hivyo vipo hatua ya uuzaji kwa Wawekezaji mbali mbali. Pia, Manispaa inatarajia kupima viwanja 600 kwa ajili ya Viwanda na ujenzi wa Bandari kavu katika eneo la Makazi Mapya na Kijiji cha Mtimbwa. Juhudi za kukusanya pesa za kutwaa maeneo na upimaji zinaendelea.

Manispaa inatarajia kupima viwanja 200 kwa ajili ya viwanda na ujenzi wa bandari kavu katika eneo la makazi mapya katika kijiji cha Mtimbwa.

Uboreshaji wa Makazi

Uwepo wa Makazi Bora ni kichocheo muhimu cha kuvutia uwekezaji wa viwanda. Makazi Bora ni pamoja na uwepo wa nyumba za kuishi na hoteli za kufikia wageni.

Halamshauri inaboresha mji wa kuwa na mipango ya uboreshaji ifuatayo:-

  • Upimaji wa Viwanja 2000 katika eneo la Nambogo na Katumba Azimio mradi huo unatekelezwa kwa Ubia (PPP) na Shirika la Mfuko wa Mafao ya Kustaafu (GEPF Retirement Benefits Fund). Utambuzi wa wamiliki wa mashamba, tathmin ilishafanyika na fidia imelipwa kwa Wakulima 121 kati ya 189.
  • Ulasimishaji wa maeneo ya Kasisiwe, Sokolo, Msua na Katusa ili kuboresha maeneo ya makazi.

MPANGO WA UZINDUZI WA KAMPENI YA UJENZI WA VIWANDA KATIKA HALMASHAURI.

Katika utekelezaji wa Sera ya Tanzania ya Viwanda Halmashauri imeweka utaratibu wa kuweza kufanya uzinduzi wa kampeni ya ujenzi wa viwanda katika Manispaa ya Sumbawanga na kuweza kutoa elimu ya umuhimu wa kuweza kujenga viwanda ndani ya Manispaa.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa