• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

STENDI YA KUU YA MABASI HALMASHAURI YA MANISPAA YA SUMBAWANGA

Start Date: 2023-02-14
End Date: 2023-02-14

SUMBAWANGA MANISPAA NA FURSA ZA UCHUMI

STENDI YA KATUMBA YA AZIMIO

Mji wa Sumbawanga ni makao makuu ya Mkoa wa Rukwa
ambapo miongoni mwa vivutio vikubwa vinavyoufanya mji wa Sumbawanga kuwa mji wa kuvutia na kupendeza ni manthari yake. Manthari inayojumuisha uwepo wa Stendi kubwa na ya Kisasa ya mabasi.

Stendi inayopatikana eneo Katumba Azimio lililopo Km 10 kutoka katikati ya mji wa Sumbawanga katika barabara ya Sumbawanga -Mbeya.Stendi Kuu ya Mabasi ya Katumba Azimo ina uwezo wa kuegesha mabasi 150 -200 kwa wakati mmoja.

Stendi hiyo ya kisasa ina jumuisha jengo la abiria lenye uwezo wa kupokea na kuhudumia abiria 1,200 kwa siku. Jengo hilo lina vyumba vya kukatia tiketi 23, eneo lililotengwa kwa matumizi ya Benki 01, eneo la mgahawa wa kisasa 01, vyumba vizuri vya kulala wageni 16, eneo la mazoezi 01, eneo la burudani (Club) 01, na Vyumba vya biashara mbalimbali 110.

Stendi hiyo ilianza kujengwa mwaka 2019 mwezi April kwa gharama ya Tsh 8,037,000,000/= (Bilioni Nane na Milioni Thelathini na Saba) ikiwa ambazo ni fedha za Mradi wa Uimarishaji Miji(ULGSP)kiasi cha Tsh5,500,000,000/= ( Bilioni Tano na Milioni Miatano ) fedha za Serikali Kuu Tsh2,500,000,000/= (Bilioni  mbili na milioni miatano) na Fedha za Mapato ya ndani kiasi cha Tsh37,000,000/= (Milioni Thelathini na Saba) Stendi ilianza kutumika   mnamo May mwaka 2021.

Stendi ya Katumba Azimio imekuwa  miongoni wa vyanzo muhimu vya mapato  vya Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga. Pamoja na kuwa miundo mbinu ya stendi hii haitumiki kwa asilimia mia moja Halmashauri ya Mansipaa ya Sumbawanga imekuwa ikusanya kiasi  kinachokadiriwa kufikia milioni mia tatu kwa mwaka.

Stendi ya Katumba Azimio imewezesha kukuwa kwa sekta ya usafirishaji ndani ya eneo la Manispaa ya Sumbawanga, na kuwezesha idadi kubwa ya vijana kujiajiri katika sekta ya usafirishaji kwa kutumia pikipiki maarufu kama boda boda, pikipipi za migu mitatu maarufu kama bajaj, daladala na tax ambazo zimekuwa zikchukua abiria kutoka eneo la stendi kwenda maeneo mbalimbali yam ji wa Sumbawanga.

Uwepo wa Stendi ya Katumba Azimio imekuwa kivutio kwa wawekezaji wa maneo ya nyumba za kulala wageni na maeneo mbalimbali ya huduma na biashara kuzunguka eneo la stendi.

Stendi ya Katumba Azimio inazo fursa za biashara  kama vile huduma za kibenki, mgahawa, eneo la mazoezi, vyumba vya biashara na viwanja vya makazi, makazi biashara na biashara vinavyolizunguka eneo la stendi.

Halmashauri ya Mansipaa ya Sumbawanga inawakaribisha wawekezaji na wafanyabiashara kutoka maeneo yote ya Tanzania nan je ya Tanzania kuwekeza na kufanya biashara katika eneo hilo la stendi.

“WEKEZA NASI, KUZA UCHUMI”


Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa