Ilibandikwa: April 30th, 2018
Halmashauri ya manispaa ya Sumbawanga kwa kushirikiana na Mfuko wa Mafao ya Kustaafu (GEPF) wametumia shilingi bilioni 1.5 kupima viwanja na kuviwekea miundombinu katika eneo la Nambogo mjini Sumbawan...
Ilibandikwa: April 27th, 2018
Katika kukabiliana na wingi wa wananfunzi uliotokana na muitikio mkubwa wa sera ya elimu bure Halmashauri ya manispaa ya Sumbawanga inaendelea na ujenzi wa madarasa matano pamoja na ofisi moja ya waal...
Ilibandikwa: April 23rd, 2018
Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imeendelea na ujenzi wa upanuzi wa kituo cha afya Mazwi kilichopatiwa shilingi milioni 500 na serikali kuu ili kuboresha huduma za afya na kutarajiwa kuhudumia wa...