• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi & Mipango Miji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mazingira na Taka Ngumu
      • Mipango na Uchumi
      • Utawala & Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Internal Audit Unit
      • Legal Service Unit
      • Info,Comm & Techno Unity
      • Procurement Management Unity
  • Fursa za uwekezaji
    • Natural Resource and Environmental Consarvertion
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

WAKAZI WA MKOA WA RUKWA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UTALII

Ilibandikwa: July 15th, 2022

Wakazi wa mkoa wa Rukwa wameshauriwa kuendelea kuzitunza maliasili zilizopo ili mkoa huo uweze kupiga hatua kwa kuingiza kipato kinachotokana na sekta ya utalii kwa vivutio vinavyopatikana mkoani humo viweze kuleta tija kiuchumi.

Kauli ya Mkuu wa mmoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti wakati wa uzinduzi wa ulinzi wa Maliasili za mkoa wa Rukwa, ulikwenda sanjari na uzinduzi wa filamu ya Royal Tour katika mkoa huo uliofanyika hii leo katika ukumbi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kalambo.

“Tunaweza kuutangaza utalii na vivutio vyote vilivyopo mkoani Rukwa iwapo sote tutakuwa na kauli moja yenye mshikamano kwa kuyasimamia yale tunayopanga.

Mkirikiti alisema kuwa sekta hiyo ya utalii inmaweza kufanikiwa iwapo watumishi wa serikali na watu wote wa sekta binafsi watajitoa na kuona fursa zilizopo.




Hatahivyo alisema ipo haja ya wafanyabiashara mkoani Rukwa nan je ya mkoa wa kuwekeza katika mkoa kuwekeza kwa kuanza kujenga hoteli zenye kukidhi vigezo vya utalii ili hata pale wageni wanapokuja kuitembelea Rukwa wajisikie fahariya kufika.



Pamoja na yote alizitaka halmashauri zote mkoani Rukwa kutenga maeneo ya ujenzi wa vitega uchumi na kugawa kwa watu mbalimbali wenye kuonesha nia ya kuwekeza katika miradiu mbalimbali.

“Tatizo hapo ni kuwa maeneo yote mazuri ya kujenga hoteli utasikia limecxhukuliwa na baadhi ya watumishi wa halmashauri lakini hawayaendelezi, yatoeni kwa Wawekezaji badala ya kuyakumbatia na hamfanyi chochote” alisema Mkirikiti

Matangazo

  • Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 December 18, 2020
  • Walichaguliwa Kidato cha Kwanza 2021 -PDF December 18, 2020
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU YA AWALI NA MSINGI TANZANIA BARA,JANUARY 2022. February 15, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA. December 07, 2019
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • RC QUEEN SENDIGA AANZA NA KUPAMBANA NA SUALA LA UDUMAVU RUKWA

    August 07, 2022
  • IDARA YA KILIMO MANISPAA YA SUMBAWANGA YASHAURIWA KULIMA KWA WINGI BROKOLI

    August 05, 2022
  • MAZIWA YA SUMBAWANGA MILK YANAPENDWA NA WATU WENGI NANENANE

    August 03, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWENYE SENSA H/MANISPAA YA SUMBAWANGA

    July 27, 2022
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa