• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

"Hakuna uchawi, Rukwa ni salama, wageni karibu sana.''

Ilibandikwa: July 13th, 2017

Serikali  mkoani Rukwa imewatoa hofu  wageni wote wanaosita kutembelea mkoa huu, wasiwe na wasiwasi wowote kwani hivi sasa ile sifa iliyokuwanayo ya uchawi haipo tena.


Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Zelothe Steven alipozindua huduma ya madaktari bingwa chini ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), walioletwa mkoani Rukwa kutoa huduma mbalimbali kwa

wagonjwa kuanzia Julai 3 hadi 8, mwaka huu.


“Watu wengi bado wanaogopa kuja Rukwa kwa sababu wanazozijua wenyewe,nawaalika waje bila hofu kwa kuwa ile kitu (imani za kishirikina –uchawi) haupo na hivi sasa imebaki ni nadharia pekee, ambazo watu wanazizungumza pasipo ukweli wowote huku akiongeza kuwa  sasa miundombinu ya barabara ni kwa kiwango cha lami,”alisisitiza.


Aliongeza kuwa hata uwanja wa ndege uliopo mjini Sumbawanga,unatarajiwa kukarabatiwa muda si mrefu na kuongeza kuwa baada ya kukamilika kwa ujenzi wa uwanja wa ndege kutakuwa na wigo mpana wa safari za kufika Sumbawanga kwani watu watakuwa na hiari ya kuchagua aina ya usafri wa kutumia aidha kwa gari au ndege.

Mh. Zelote aliongeza.."Njoo Sumbawanga, njooni Rukwa mamb ni shwari na hakuna wasiwasi wowote", huku akishangiliwa na mamia ya watu waliokuwapo katika eneo la hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Rukwa

 Madaktari bingwa saba wametoa huduma za magonjwa ya wanawake na mfumo wa uzazi, mfumo wa mkojo, mfumo wa pua , koo masikio na magonjwa ya moyo na ya ndani.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa