• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Kituo cha Afya Mazwi chaboreshwa ili kuhudumia wananchi 94,856

Ilibandikwa: April 23rd, 2018

Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imeendelea na ujenzi wa upanuzi wa kituo cha afya Mazwi kilichopatiwa shilingi milioni 500 na serikali kuu ili kuboresha huduma za afya na kutarajiwa kuhudumia wananchi 94,856.

Kituo hicho kinachoendelea na ujenzi kimeongeza majengo ya Maabara, Kichomea taka, Jengo la Mama Baba na Mtoto, Vyoo na Kibanda cha mlinzi tofauti na ilivyokuwa awali kabla ya azma ya serikali kuboresha kituo hicho.

Mganga Mkuu wa Manispaa ya Sumbawanga Dkt. Archie Hellar ameishukuru serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kutenga fedha hizo na kuweza kuboresha huduma ya afya katika manispaa ya Sumbawanga yenye kituo kimoja cha afya kinachomilikiwa na serikali.

“Kuimarisha huduma za Afya kwa wananchi kwa kusogeza huduma  karibu kwa zaidi ya Wakazi 94,856 wa Kata ya Mazwi na maeneo mengine yasiyo za Zahanati wala kituo cha afya ikiwemo Kata za Izia, Momoka , Mafulala, Msua ,Lwiche  na Sumbawanga asilia,” Amesema.

Ameongeza kuwa kukamilika kwa kituo hicho kutawezesha kupunguza vifo vya mama na mtoto, kuwezesha watoto wote kupata chanjo kwa wakati ili kuwakinga na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo, pamoja na kuijenga jamii iliyo na watu wenye Afya nzuri  na kushiriki katika shughuli mbalimbali za Maendeleo.

Kwa sasa Halmashauri ina jumla ya vituo vya tiba 42 ikiwemo Hospitali 2 ya rufaa ya Mkoa na DDH, Vituo vya Afya 3 kimoja kikiwa cha serikali, na zahanati 35, 20 zikiwa za serikali.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa