• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Afro Bio Energy yakusudia kujenga kiwanda cha kuchakata taka mjini Sumbawanga

Ilibandikwa: August 4th, 2017

Serikali na Wafanyabishara hapa nchini wameshauriwa kuanza kutumia taka zinazozalishwa na binadamu na mimea ili kuweza kuzichakata na kupata nishati ya umeme wa kutosha badala ya kutegemea umeme unaotokana na nguvu ya maji na mafuta pekee.

Ushauri huo umetolewa na Mhandisi wa umeme Bw. Josip Papic wa kampuni ya kigeni ya Afro Bio Energy ya nchini Marekani ambayo inauzoefu wa kuzalisha umeme unaotokana na mimea sanjari kinyesi cha wanyama na binadamu katika nchi mbalimbali duniani, wakati wakizungumza na Madiwa na Watendaji wa halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.

Bw. Papic alisema tatizo la uhaba wa nishati ya umeme hapa nchini linaweza kumalizwa kwa kushirikisha wadau kutoka sekta binafsi ambao watazalisha umeme na kuliuzia Shirika la umeme laTANESCO, hivyo kwa kuanza Afro Bio Energy imeonesha nia ya kujenga kiwanda cha kuchakata taka mjini Sumbawanga ambako wakulima na watapatiwa mbegu za nyasi maalumu zitakzozalishwa kwenye mashamba yao na kuiuzia kampuni hiyo ambayo itatumia taka za nyasi hizo na zile zinazozalishwa mjini Sumbawanga kutengeneza umeme wa kiasi cha Megawati 5.

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga Bw. Saad Mtabule alisema ujio wa kampuni hiyo katika Manispaa hiyo na kukamilisha kwa mchakato wa uwekezaji huo utakuwa ni mkombozi kwa uchumi wa halmashauri hiyo na jamii kwa ujumla ambapo ujenzi wa kiwanda cha kuchakata taka zitakazozalisha umeme kinatarajia kutengeneza ajira ya zaidi ya watu Mia tano

Mji wa Sumbawanga unatumia zaidi ya Megawati 5 za umeme kila siku ikiwa ni umeme wa maji kutoka nchi jirani ya Zambia sanjari na umeme wa nishati ya mafuta kutoka mkoani hapa.

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • EDWINE MISASI NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    August 27, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa