• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Masuala ya Lishe
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Uratibu na Mipango
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu
      • Kitengo cha Maliasili na Utunzaji wa Mazingira
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

Huduma ya Maji

TAARIFA YA IDARA YA MAJI                                                                                                      

Halmashauri ya manispaa ya Sumbawanga kupitia Idara ya maji inalo jukumu la kutoa huduma ya maji safi na salama katika eneo la pembezoni mwa mji wa Sumbawanga yaani vijiji vya manispaa, wakati eneo la mjini huduma ya maji hutolewa na Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira (SUWASA).                 

HALI YA HUDUMA YA MAJI KWA SASA 

Eneo la pembezoni yaani Sumbawanga vijijini kuna jumla ya kata saba (7) zenye jumla ya vijiji ishirini na tano (25) ambapo kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012  kwa sasa inakadiriwa kuwa na jumla ya watu   102,060, ambapo takribani wakazi 51,030 wanapata huduma ya maji safi na salama sawa na asilimia 50 % ya wakazi wote waishio vijijini

JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUTOA HUDUMA YA MAJI  

Katika kuhakikisha huduma ya maji vijijini inawafikia wananchi Halmashauri imekuwa ikishirikiana na wadau mbali wa maji kupitia program mbalimbali zikiwemo NORAD, RUDEP, TASAF QUICKWINS, WSDP na RWSSP.

MAFANIKIO

Kuanzia mwaka wa fedha 2012/2013 hadi kufikia Decemba 2017 Halmashauri imekamilisha ujenzi wa miradi mitano kupitia programu ya maendeleo ya sekta ya maji (WSDP) miradi hiyo ni Kanondo, Chelenganya, Mlanda, Malonje na Pito group unao hudumia vijiji vitatu mbavyo ni Pito, Malagano na Tamasenga, kwa ujumla miradi hii inahudumia vijiji saba vyenye jumla ya wakazi 28,657.

 

 UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA                  

Kwa sasa Halmashauri inaendelea na ujenzi wa  miradi mitatu katika vijiji vine yenye thamani ya Tsh 1,948,987,934, miradi hiyo ni Chipu –Kasense, Kisumba –Matanga na Sambulwa –Mtipe, mradi huu unahusisha ujenzi wa tega maji kwenye chanzo cha Sambulwa na bomba kuu toka chanzo cha maji cha Sambulwa hadi Tenki la maji la Mtipe, miradi hii inayoendelea kujegwa itakapo kamilika inatarajiwa kuhudumia wakazi 16,711 hivyo kuongeza idadi ya wananchi wanaopata huduma ya maji safi na salama kufikia 67,741 sawa na asilimia 69% ya wakazi wa vijijini.

Miundombinu ya Maji katika Manispaa ya Sumbawanga

AINA YA MIUNDOMBINU
HALI YA UPATIKANAJI (VITUO VYA MAJI)
MAHITAJI
ILIYOPO
ZIADA/UPUNGUFU
Maji ya Bomba
348
174
174
Chemchem zilizokingwa
-
7
-
Visima Virefu
-
33
-
Visima Vifupi
-
0
-
Uvunaji Maji ya Mvua
-
5
-
JUMLA
348
219
174

Matangazo

  • TANGAZO LA CHANJO KWA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO April 26, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2023 March 11, 2023
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2023 March 11, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KAZI ZA UBORESHAJI WA BARABARA KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA March 01, 2023
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • MKURUGENZI PENDO MANGALI AHIMIZA UADILIFU NA UWABIKAJI KWA WAHITIMU RIBM

    June 20, 2025
  • SHIRIKIANENI NA SERIKALI KULETA MAENDELEO RUKWA-RC MAKONGORO

    March 16, 2025
  • MD PENDO MANGALI-MSIWE MADALALI WA VIWANJA, CHAPENI KAZI

    November 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA

    October 01, 2024
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa