Katika Manispaa ya Sumbawanga kuna jumla ya shule za Msingi 63 ambapo shule 55 ni za Serikali na 8 ni za wamiliki binafsi.
Shule zenye Wanafunzi wenye Mahitaji Maalum
Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga ina shule 4 zenye wanafunzi 157 wavulana 83 na wasichana 74 .Kati ya shule hizo shule 1 ina wanafunzi wenye mahitaji maalumu tu ambayo ni shule ya Msingi Malangali pia kuna shule 3 jumuishi ambazo ni Katandala A, Kizwite na Mwenge B.Kama inavyoonekana kwenye jedwali Na 3
Jedwali 3: Idadi ya wanafunzi wenye mahitaji maalum
Na |
Jina la shule |
Idadi ya wanafunzi |
||
|
|
Wavulana |
Wasichana |
Jumla |
1
|
Shule Maalum Malangali
|
44
|
50
|
94
|
2
|
Shule ya Msingi kizwite
|
29
|
13
|
42
|
3
|
Shule ya Msingi Mwenge B
|
5
|
8
|
13
|
4
|
Shule ya Msingi Katandala A
|
5
|
3
|
8
|
|
Jumla
|
83
|
74
|
157
|
Katika shule 55 za Serikali mahitaji na idadi ya waalimu wanaofundisha darasani ni kama inavyoonekana katika jedwali lifuatalo;-
Jedwali Na.4: Taarifa ya Walimu Elimu Msingi Januari, 2018
NA |
MAHITAJI |
WALIOPO |
UPUNGUFU |
1 |
1303 |
1003 |
300 |
Idadi ya Wanafunzi kwa Shule za MsingiIdadi ya wanafunzi katika shule za Msingi 55 za Serikali ni 58,641 ambapo 28321 kati yao ni Wavulana na 30320 ni Wasichana.
Hali ya Madawati na Vyumba vya Madarasa Elimu Msingi
Taarifa ya Madawati Januari, 2018
MADAWATI | VYUMBA VYA MADARASA | ||||
Mahitaji | Yaliyopo | Upungufu | Mahitaji | Yaliyopo | Upungufu |
19547 | 19422 | 125 | 1309 | 508 | 801 |
Uandikishaji wanafunzi wa elimu ya awali na darasa la kwanza 2017
Halmashauri yetu Mwaka 2017 imeweza kuandikisha wanafunzi wa Elimu ya Awali 7811na Darasa la Kwanza 10628
Uandikishaji elimu ya Awali 2017
MWAKA 2017 |
ELIMU YA AWALI MALENGO |
WALIOANDIKISHWA |
% YA WALIOANDIKISHWA |
||||
WAV
|
WAS
|
JML
|
WAV
|
WAS
|
JML
|
||
4004
|
4101
|
8105
|
4012
|
3790
|
7811
|
96 |
Uandikishaji darasa la Kwanza 2017
MWAKA 2017 |
MALENGO |
WALIOANDIKISHWA |
% YA WALIOANDIKISHWA |
||||
WAV
|
WAS
|
JML
|
WAV
|
WAS
|
JML
|
||
4060
|
4321
|
8381
|
5290
|
5338
|
10628
|
126.8 |
Uandikishaji wa Wanafunzi wa Darasa la kwanza na Awali 2018
Katika kipindi cha mwezi Januari hadi kufikia tarehe 31 Januari, 2018, Manispaa imeandikisha jumla ya wanafunzi 7,635 ( Wav 3,696 na Was 3,939) sawa na asilimia 93 kati ya wanafunzi 8,235 ya waliokisiwa kuandikishwa kwa darasa la kwanza, na wanafunzi 6,123 ( Wav 3,047 na Was 3,076) wa elimu ya awali sawa na asilimia 79 kati ya wanafunzi 7,777 ya waliokisiwa kuandikishwa.
Hali ya Taaluma
Hali halisi ya taaluma katika Halmashauri sio ya kuridhisha pamoja kuwa ufaulu umekuwa ukiongezeka mwaka hadi mwaka kwa Darasa la VII lakini matokeo ya mtihani wa Darasa la IV ni ya kuridhisha kama jedwali linavyoonesha mfululizo. Katika mitihani ya Kumaliza Elimu ya Msingi na darasa la Nne kuanzia Mwaka 2015 hadi 2017 ni kama ifuatavyo:Matokeo ya Mitihani ya Darasa la Saba Mwaka 2015 – 2017
MWAKA |
ASILIMIA YA UFAULU |
2015
|
71.6
|
2016
|
77.77
|
2017
|
84.09
|
Matokeo ya Mitihani ya Darasa la Nne Mwaka 2015 – 2017
MWAKA |
ASILIMIA YA UFAULU |
|
|
||
2015 |
62 |
|
2016 |
83.77 |
|
2017 |
83.46 |
|
Sumbawanga Municipal Council
Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga
Simu ya Mezani: +255252802163
Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255
Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz
HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa